tunalazimika
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,098
- 256
kwa bahat mbaya nimejikuta nikisikiliza clouds fm na kwa bahat mbaya nikamkuta diva hewan_kwa kwel nimejengewa humu jf ya kumchukia huyu dada ila baada ya kusikia tone yake kwny uendeshaj wa kipind chake, kwa kwel huyu dada anajitahid sana na nashindwa kujua ivi kwann hum jf tunamchukia_najua mliozaliwa mmetanguliza mikono nje mtaanza kwa kutukana, kwa kila atakayefanya ivo mi tayar nimeshamrudishia mwenyewe