Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,602
Passo haina balance, ukiongeza na speaker lazma iyumbe yumbe kwa mdundoHAHAHAHAHAHAH
Passo haina balance, ukiongeza na speaker lazma iyumbe yumbe kwa mdundoHAHAHAHAHAHAH
Mchina subwoofer lake kubwa ni 150watts tu. Huko 300 umempendelea sana.
Vipi hio 1000watts inapiga kuliko ile ya Sony home theatre?
Michoro ya hivo hufanya kazi na 4 ohms kupanda
Ukipiga hesabu zinafika mkuu ndio maana wakaipa TAG. Halafu pia lazma tujue kuna tofauti ya mziki wa Integrated Circuits na ile ambayo kila kitu kipo kivyake. Ndio maana mziki wa gari wenye independent Subwoofer, Equalizer na Amplifier ni tofauti hata kwa sounding.Unaamin lile box tunauziwa lenye spika nyingi limeandikwa sony home theatre 1000w kweli zile ni thousands watts?
Kuna ndogo zile za watts 300 nazo unaamin ni watts 300 ? Unajua hizo za watts 300 zinazdiwa ukubwa wa mziki na seapiano tu yenye vi TDA 2050 vi nne?
Kuna jL audio ya watts 300rms hii ni subwoofer tu ya inch 10 twita weka au zozote i mean zipige hata na tda2050 ..ambako kama hiyo sub utaipa amplifier ya watts 300 na hizo twita mbili ni watts 20 each jumla 40+ 300 ya sub ni watts 340
Kisha washa utanambia kama hivyo vi home theatre vilivoandikwa watts 1000 vinaingia hapo
nitumie naomba hy websiteCircuit hii sijai-design mimi niliipata kwenye mtandao,nikaisuka!
Imeandikwa watt 600 lakini Kama utaweka power transistor 10x2 utapata the realy 1000wattage of it!
Nimeisuka ipo powa sana,the sound is great.
It may blow out the roof of your room if you can dare to touch the maximum of its volume!
Hakikisha una speaker kubwa ndio usuke Amplifier hii.
POWER AMP.
View attachment 138995
NILIYO SUKA MIMI
View attachment 138996
POWER SUPPLY YAKE
View attachment 138997
POWER SUPPLY NILIYO ISUKA MIMI
View attachment 138999
Usiogope kuitengeneza ipo powa sana;it is so simple but it has wonderful result.Do IT Yourself now!
Tembelea website HII kwa maelezo zaidi
Kazi kwenu wana electronics.Cheers!
Kama kuna maswali yeyote ya kitaalamu zaidi naomba mum-PM huyu jamaa transistor yeye ndo amenisapoti kwa asilimia 100% kwani na mimi najifunza tu kama nyinyi.
BUT;take care guyz this is high voltage divice the voltage my reach 90 DC voltage enough to stop your heart beat if you work it wrong!Mafundi wa ukweli they are always care!
Ukipiga hesabu zinafika mkuu ndio maana wakaipa TAG. Halafu pia lazma tujue kuna tofauti ya mziki wa Integrated Circuits na ile ambayo kila kitu kipo kivyake. Ndio maana mziki wa gari wenye independent Subwoofer, Equalizer na Amplifier ni tofauti hata kwa sounding.
Lengo lako nini kuunda transmitter, unataka u transmit mini? At least inverter ina matumizi ya sola.Unda vitu vinavyohitajika ktk jamii kama Huyo mtoa mada.l utauza utajipayia kopato. Unda hata AC,DC rugulator utauza huko mtaaniMy self I have idea on preparing radio transmitters, Inverter which does not use battery and which use battery. ,Strong amplifiers and all sensors you want which have any features you want. Sorry kingereza najifunza. Let's share ideas if your interested.I LOVE ELECTRONIC but I didn't go study for it due to economic condition.
Science is non sense in Africa.Hizo project nchi nyingine watoto ndio wanacheza nazo.Hakuna viwanda wala innovation research center.Sana sana unakuwa fundi mitambo wa TTCl ,TBC,VODA basi hakuna innovation ya maana utakayoifanya. Wenzeyu wanahangaika kuunda quantum satellite, quantum computer sisi tunahangaika na amplifier.Wenzetu wanahangaika kuvumbua magari ya umeme sisi tupo na viptoject vidovidogo.Tutachwa mbali sana tusipoangalia.Anzisheni project kubwa bila woga, msiogope.Hizo amplifier project tuwaachie la saba jamani, mnisamehe siwabezi.Watu mliosoma electronics naona mnamwaga nondo tu ki electronics, Hongereni sana.