Wiki 2 zilizopita mke wangu alimaliza dozi ya ciprofaxin za India.
Sasa nashangaa anaumwa tena, dalili zile zile.
naomba msaada wa dawa zipi efective za kutibu typhoid.
je, baada ya kumeza dawa za typhoid, inatakiwa muda gani upite ndo mtu ameze tena??
Sasa nashangaa anaumwa tena, dalili zile zile.
naomba msaada wa dawa zipi efective za kutibu typhoid.
je, baada ya kumeza dawa za typhoid, inatakiwa muda gani upite ndo mtu ameze tena??