Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,802
- 11,961
Cecilia Mwanga, Mgombea wa Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia Makini amechukua fomu za uteuzi wa kugombea nafasi hiyo leo Agosti 8, 2020 katika ofisi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dodoma. Bi. Mwanga ameambatana na Mgombea Mwenza, Tabu Juma pamoja na viongozi wa chama.