jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,752
- 22,003
Breaking News ni kwamba CIA Walifosiwa na WH ku FORGE waraka wa kuonyesha kuwa Saddam Hussein wa Iraki alikuwa na UHUSIANO NA ALKAEDA....NA PIA KUWA ANA SILAHA ZA MAANGAMIZI!
Pia CIA nao wanadai barua ilifekiwa na WHITE HOUSE.
Na nyie huko BONGO MUANZE KAZI YA KUULIZA MASWALI YA HAO WANAUSALAMA AMBAO WENGI WAO NI MAFISADI!
Kama CIA AMA WHITE HOUSE wako accountable kwa wananchi ni kwanini wanausalama wetu NA IKULU wasiwe accountable?
Pia CIA nao wanadai barua ilifekiwa na WHITE HOUSE.
Na nyie huko BONGO MUANZE KAZI YA KUULIZA MASWALI YA HAO WANAUSALAMA AMBAO WENGI WAO NI MAFISADI!
Kama CIA AMA WHITE HOUSE wako accountable kwa wananchi ni kwanini wanausalama wetu NA IKULU wasiwe accountable?
Last edited by a moderator: