Cesar Saint
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 424
- 725
Tarehe 12 January 1964 ni siku itakayoendelea kukumbukwa kama siku ya mwisho ya ukomo wa utawala wa KiSultani visiwani Zanzibar.
Kuna mambo mengi ambayo hayakuwekwa wazi kuhusiana na mapinduzi haya ya kihistoria kuondoa utawala onevu Zanzibar.
Je ni nani alianzisha mapinduzi haya? Nini kiliwapata watawala?Nani alitoa ushirika wa kifedha na mafunzo kwa wana mapinduzi? Na vingine vingi
Mwaka 2007 May serikali ya marekani iliachilia waraka wenye kurasa 170 ikielezea kinagaubaga mapinduzi haya.
Chukua muda kuipitia.
https://www.cia.gov/library/readingroom/docs/esau-28.pdf
Information is power
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo mengi ambayo hayakuwekwa wazi kuhusiana na mapinduzi haya ya kihistoria kuondoa utawala onevu Zanzibar.
Je ni nani alianzisha mapinduzi haya? Nini kiliwapata watawala?Nani alitoa ushirika wa kifedha na mafunzo kwa wana mapinduzi? Na vingine vingi
Mwaka 2007 May serikali ya marekani iliachilia waraka wenye kurasa 170 ikielezea kinagaubaga mapinduzi haya.
Chukua muda kuipitia.
https://www.cia.gov/library/readingroom/docs/esau-28.pdf
Information is power
Sent using Jamii Forums mobile app