Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,030
- 1,384
- Thread starter
- #121
Mods, mimi nimeanzisha uzi "Muuwaji wa BOB MARLEY huyu hapa" katika International Forum.
Lakini mmeuunganisha uzi unaokwenda kwa "CIA akiri kumuua Bob Marley akiwa kitandani" ambao umeanzishwa na Anonymousafrica mkasema nimeuanzisha mimi mkaihamishia kwenye jukwaa la Celebrities.
Kuweka kumbukumbu sawa: Sina ID mbili.
Anonymousafrica ametafsiri uzi wa kwanza ambapo ni jambo jema maana kuna member aliomba translation tool.
Ila kwanini mmeubadili heading uzi wangu?
Lakini mmeuunganisha uzi unaokwenda kwa "CIA akiri kumuua Bob Marley akiwa kitandani" ambao umeanzishwa na Anonymousafrica mkasema nimeuanzisha mimi mkaihamishia kwenye jukwaa la Celebrities.
Kuweka kumbukumbu sawa: Sina ID mbili.
Anonymousafrica ametafsiri uzi wa kwanza ambapo ni jambo jema maana kuna member aliomba translation tool.
Ila kwanini mmeubadili heading uzi wangu?