Church burned in Algeria

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
Protestant church burned in Algeria




ap_logo_106.png

By AOMAR OUALI, Associated Press Writer Aomar Ouali, Associated Press Writer – 20 mins ago


ALGIERS, Algeria – Islamists looted and burned a Protestant church in Algeria, the congregation's leader said Monday, suggesting they were inspired by a recent spate of religious intolerance in the Arab and Muslim world.

The church — hosted in an apartment block in the city of Tizi Ouzou some 100 kilometers (60 miles) east of Algiers, the Algerian capital — was ransacked and set ablaze on Saturday night, several Algerian newspapers said.

The independent El Watan daily published a picture of a smoldering pile of pulpits and desks that had been brought outside for destruction. It quoted the pastor of the local Pentecostal community, Mustapha Krireche, as saying worshippers fled the temple because local police had left a gathering of anti-Christian rioters unchecked.

The congregation was worshipping in the apartment block because it had not received official government approval to operate a church.

Mustapha Krim, the head of the Algerian Protestant Church association, said in a telephone interview with The Associated Press on Monday that looters also set fire to a pile of Bibles and religious textbooks, and desecrated Christian crosses.

He said the looting showed "Islamist intolerance considers there is no room for Christian religious practices in Algeria," and alleged it was "fueled by what just happened in Egypt," where six people were killed in a church shooting during Christmas celebrations. In mainly Muslim Malaysia, nine churches have been attacked recently — the assailants used firebombs and in one case, paint — amid violence against the country's Christian minority.

http://news.yahoo.com/s/ap/20100111/ap_on_re_af/af_algeria_burned_temple
 
Hutasikia wakristu wameandamana duniani kote kwa sababu yote tunamuachia Mungu,Wangekuwa wao kuchomwa quran dunia ingetikisika. Ndo ujue wakristu ni wavumilivu na hujua kumuomba Mungu.
 
Muda si mrefu watakuja hapa wakamua kinyesi maiti kutetea hiki kitendo cha kishenzi..Yangu macho.
 
Muda si mrefu watakuja hapa wakamua kinyesi maiti kutetea hiki kitendo cha......Yangu macho.

Ndio uisilamu huo kama mlikua hamuujui, Haya ndio mafunsho ya Mohammad na Uisilamu in action.
Si kwamba wanaonewa, si kwamba wanasingiziwa bali kutimiza mapenzi ya mUNGU wao aLLAH kwa kuua kupigana na wasioamini katika Uisilamu.

Kuhusu kuwatetea wenzao hilo nalo usishangae maana wanatimiza matakwa ya aLLAH

Read here you will see why they can never condemn any atrocities committed by fellow Muslims.
Abu Hurairah (May Allah be pleased with him) reported: The Prophet (PBUH) said, "Allah will cover up on the Day of Resurrection the defects (faults) of the one who covers up the faults of the others in this world".

Commentary: Covering up the shortcomings and faults of people is an excellent manner. That is why this quality is very much liked by Almighty Allah. On the Day of Resurrection, Allah will give a matching reward to that man who has such a quality, which means that Allah will forgive his sins and will not call him to account for his sins. If at all He will do so, He will not do it publicly so that he is not embarrased before others. Then Allah may forgive him or send him to Hell for a short while.
[Al-Bukhari and Muslim]

Kwa hiyo hata siku moja hutaweza kuwasikia wakilaani vitendo hivi waziwazi. Watakuja na kila aina ya hoja kutetea haya madhambi, wengine wataanza kuleta irrelevant issues kama gobal warming, Palestine, swine flu, elnino. We subiri tu utasikia.

 

Ndio uisilamu huo kama mlikua hamuujui, Haya ndio mafunsho ya Mohammad na Uisilamu in action.
Si kwamba wanaonewa, si kwamba wanasingiziwa bali kutimiza mapenzi ya mUNGU wao aLLAH kwa kuua kupigana na wasioamini katika Uisilamu.

Kuhusu kuwatetea wenzao hilo nalo usishangae maana wanatimiza matakwa ya aLLAH

Read here you will see why they can never condemn any atrocities committed by fellow Muslims.
Abu Hurairah (May Allah be pleased with him) reported: The Prophet (PBUH) said, "Allah will cover up on the Day of Resurrection the defects (faults) of the one who covers up the faults of the others in this world".

Commentary: Covering up the shortcomings and faults of people is an excellent manner. That is why this quality is very much liked by Almighty Allah. On the Day of Resurrection, Allah will give a matching reward to that man who has such a quality, which means that Allah will forgive his sins and will not call him to account for his sins. If at all He will do so, He will not do it publicly so that he is not embarrased before others. Then Allah may forgive him or send him to Hell for a short while.
[Al-Bukhari and Muslim]

Kwa hiyo hata siku moja hutaweza kuwasikia wakilaani vitendo hivi waziwazi. Watakuja na kila aina ya hoja kutetea haya madhambi, wengine wataanza kuleta irrelevant issues kama gobal warming, Palestine, swine flu, elnino. We subiri tu utasikia.


Nimekuelewa Bw. October.

Hii ndio signature ya dini ya wamanga. Ndio maana kule kwenye thread ya Wamisri kuna ustaadh mmoja anang'ang'a kweli kujustify mauaji ya wale Wakristu kule. Yaani amefumba milango yake ya fahamu ili kufuata maelekezo ya dini ya wamanga.
 
Nimekuelewa Bw. October.

Hii ndio signature ya dini ya wamanga. Ndio maana kule kwenye thread ya Wamisri kuna ustaadh mmoja anang'ang'a kweli kujustify mauaji ya wale Wakristu kule. Yaani amefumba milango yake ya fahamu ili kufuata maelekezo ya dini ya wamanga.


Mkuu Asante kwa uelewa wako mpana.
Kwa hiyo hata siku moja huwezi sikia Musilamu akimlaumu muisilamu mwingine hata afanye madhambi gani, wao siku zote watalindana na kuteteana tu kwa vile wanaamini kuwa kwa kufanya hivyo aLLA atawafichia dhambi zao siku ya kiama.


Na hii haiishii kwenye ugaidi tu, inaendelezwa mpaka kwenye siasa. Kiongozi wa kisiasa hata afanye blunders za waziwazi namna gani, huwezi sikia waisilamu wakimkemea waziwazi endapo atakua muisilamu mwenzao (Mara nyingi watakaa kimya au watamtetea) Lakini asipokua muisillamu hata maandamano watafanya baada ya sala ya Ijumaa.
 
Ingawa huwa sipendi mjadala wa dini lakini kusema kweli I shudder when I see what Islam Extremists can do ithe name of Allah alafu kuna watu wanasema Islam is a religion of piece. Come on!!
 
Ingawa huwa sipendi mjadala wa dini lakini kusema kweli I shudder when I see what Islam Extremists can do ithe name of Allah alafu kuna watu wanasema Islam is a religion of piece. Come on!!

Kiongozi usizuie hisia zako. Ziseme waziwazi, mwenye kutaka kubadilika atabadilika.
 
"What happened is appalling, but the apartment wasn't an authorized house to practice a religion,"

Kungekua hakuna hizi dini za uongo [Mussa/Moses/Moshee], miungu ya uongo, Uislam, Ukristo haya yote yasingetokea.

Watu wengi hapa wamekua na kumbukumbu za kuku.
Ni miaka ya juzi tu hao wafuasi wa Protestant church walikua wanauana na wakatoliki kule Nothern Ireland. Makanisa kupigwa mabomu

Watoto wachekechea kuvamiwa mshuleni mwao nakuuliwa n.k

Mwisho kwa mwandishi wa habari, apartment sijui kama kwenye kamusi yake inaitwa kanisa. Apartment ni nyumba ya kuishi watu.

Angeandika wafuasi wa Protestant wameunguziwa Apartment yao.
 
Goodday!
Naona wakristu mnafunguka akili sasa.
Nikisema waislamu ni maibilisi mnakuja juu,mod naye haishi kunifungia,I think na yeye ni mjaidina.

Hata JK si wetu,yes yupo pale kwa maislahi ya waislamu tuu,na daima hatasita kuwakandamiza wakristu kwa lengo la kupata thawabu siku ya kihama.

Hatufai,yes,hatufai,2010 inakuja, wakristu tusijidanganye,kura zetu tuwape wakristu wenzetu tuu,JINO kwa JINO.

Ni afadhali tusipige kura kabisa kuliko kumpigia Shetani kama JK na wenzake.Tazama hata selection zake,action zake,hazina mrengo wa kitaifa,zimebeba uhalisia wa kimakundi,uchawi, na udini udini tuuu.

Mwinyi mnayemjua ninyi,alithubutu kutaka kuibadili Tz iwe the uNITED iSLAMIC rEPUBLIC oF tANZANIA.WASOMI WAKAMSHTIKIA, leo hii wakristu mnakuwa mabogus na ndiyo wenye kiherehere kuwapigia kampeni viongozi waislamu kama JK.Shame on u all.

Ewe mkristu kura yako mpe mkristu mwenzako. Big NO to JK na waislamu wote.
 
Goodday!
Naona wakristu mnafunguka akili sasa.
Nikisema waislamu ni maibilisi mnakuja juu,mod naye haishi kunifungia,I think na yeye ni mjaidina.

Hata JK si wetu,yes yupo pale kwa maislahi ya waislamu tuu,na daima hatasita kuwakandamiza wakristu kwa lengo la kupata thawabu siku ya kihama.

Hatufai,yes,hatufai,2010 inakuja, wakristu tusijidanganye,kura zetu tuwape wakristu wenzetu tuu,JINO kwa JINO.

Ni afadhali tusipige kura kabisa kuliko kumpigia Shetani kama JK na wenzake.Tazama hata selection zake,action zake,hazina mrengo wa kitaifa,zimebeba uhalisia wa kimakundi,uchawi, na udini udini tuuu.

Mwinyi mnayemjua ninyi,alithubutu kutaka kuibadili Tz iwe the uNITED iSLAMIC rEPUBLIC oF tANZANIA.WASOMI WAKAMSHTIKIA, leo hii wakristu mnakuwa mabogus na ndiyo wenye kiherehere kuwapigia kampeni viongozi waislamu kama JK.Shame on u all.

Ewe mkristu kura yako mpe mkristu mwenzako. Big NO to JK na waislamu wote.

Duh!

Haya bwana, nadhani MOD wamekusikia.
 
Goodday!
Naona wakristu mnafunguka akili sasa.
Nikisema waislamu ni maibilisi mnakuja juu,mod naye haishi kunifungia,I think na yeye ni mjaidina.

Hata JK si wetu,yes yupo pale kwa maislahi ya waislamu tuu,na daima hatasita kuwakandamiza wakristu kwa lengo la kupata thawabu siku ya kihama.

Hatufai,yes,hatufai,2010 inakuja, wakristu tusijidanganye,kura zetu tuwape wakristu wenzetu tuu,JINO kwa JINO.

Ni afadhali tusipige kura kabisa kuliko kumpigia Shetani kama JK na wenzake.Tazama hata selection zake,action zake,hazina mrengo wa kitaifa,zimebeba uhalisia wa kimakundi,uchawi, na udini udini tuuu.

Mwinyi mnayemjua ninyi,alithubutu kutaka kuibadili Tz iwe the uNITED iSLAMIC rEPUBLIC oF tANZANIA.WASOMI WAKAMSHTIKIA, leo hii wakristu mnakuwa mabogus na ndiyo wenye kiherehere kuwapigia kampeni viongozi waislamu kama JK.Shame on u all.

Ewe mkristu kura yako mpe mkristu mwenzako. Big NO to JK na waislamu wote.

Pamoja nakuitetea dini yako lakini post yako imekaa kiuchochezi.
 
Darwin!
Kuna umuhimu gani wa kupatana na ibilisi?
Nimekuambia una haki unachotetea lakini kumbuka kuna ule usemi wa kizungu usemao Two Wrongs Don't Make a Right

Narudia tena

Post yako imekaa kichochezi

 


Watu wengi hapa wamekua na kumbukumbu za kuku.
Ni miaka ya juzi tu hao wafuasi wa Protestant church walikua wanauana na wakatoliki kule Nothern Ireland. Makanisa kupigwa mabomu

Watoto wachekechea kuvamiwa mshuleni mwao nakuuliwa n.k

Mwisho kwa mwandishi wa habari, apartment sijui kama kwenye kamusi yake inaitwa kanisa. Apartment ni nyumba ya kuishi watu.

Angeandika wafuasi wa Protestant wameunguziwa Apartment yao.

Darwin Nadhani wewe ndio mwenyewe kumbukumbu za kuku au labda reverse evolution imeanza kutokea katika kumbukumbu zako.

Ni kweli sababu za ugomvi wa IRA kuwa zilikua kati ya Waingereza Anglican na IRA ambao ni Catholics. Lakini vilevile unasahau kua ugomvi wao ulikua confined Uingereza peke yake, hukuwahi kusikia Anglikana wakipigana mabomu huku Afrika kwa sababu ya vita kule Uingereza, wala hukuwahi kusikia makanisa ya Anglicana au katoliki yakichomwa moto na haya makundi yanapopigana mahali popote pale duniani.

Kwa hiyo ninachosema kama Waisilamu wanaugomvi na Israeli kama wanavyotaka tuamini, kwanini wasiunganishe nguvu zao zote kupambana nae? Kwanza Israeli na makanisa kuna uhusiano gani?, Kwanini waonee wasiohusika?

Najua unataka kuwa politically correct lakini kuficha ukweli hakusaidii, kuficha kidonda hakuleti uponyaji, ni bora kidonda kifunguliwe na kuoshwa na kuwekwa dawa..

Hakuna anaewaonea waisilamu. Ndivyo mafundisho yao yalivyo. Give yourself 48 hours and watch news, you will surely hear they killed someone somewhere. Sorry but this is the fact, Islam has to kill to survive!!!
 
Inashangaz kuona ma atheist wameishiwa kwenye deen yao na sasa wanajadili mambo theist. Kaazi kweli kweli.

Anyway Wakuu, tubakie kwenye mada ya Algeria
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom