Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,633 697,782 Nov 23, 2014 Thread starter #2 Zingebaki story...!!!
muhomakilo jr JF-Expert Member Jul 28, 2013 13,414 9,872 Nov 23, 2014 #4 Mwizi tu huyu babu,kakosa mihela kaamua kumwaga mboga..hana tofauti na wale wezi wengine..
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,633 697,782 Nov 23, 2014 Thread starter #5 muhomakilo jr said: Mwizi tu huyu babu,kakosa mihela kaamua kumwaga mboga..hana tofauti na wale wezi wengine.. Click to expand... Pesa bwana, babu asingetofautiana na Tanesco yote haya yasingejulikana, hata nguvu ya Zk inatoka hapa Tusubiri kuona mwisho wake ila naona kama kuna vifo vya ghafla vitatokea
muhomakilo jr said: Mwizi tu huyu babu,kakosa mihela kaamua kumwaga mboga..hana tofauti na wale wezi wengine.. Click to expand... Pesa bwana, babu asingetofautiana na Tanesco yote haya yasingejulikana, hata nguvu ya Zk inatoka hapa Tusubiri kuona mwisho wake ila naona kama kuna vifo vya ghafla vitatokea
A AZUSA STREET JF-Expert Member Oct 31, 2013 2,007 1,893 Nov 23, 2014 #6 unajua wana ccm wengi wakifa, anayelia ni familia zao tu. mgimwa na nyerere tu ndio nakumbuka waliniliza.
unajua wana ccm wengi wakifa, anayelia ni familia zao tu. mgimwa na nyerere tu ndio nakumbuka waliniliza.
N Ngekewa JF-Expert Member Jul 8, 2008 7,705 1,288 Nov 23, 2014 #7 mshana jr said: View attachment 205021 Click to expand... Hawana shukurani hawa! Baada ya kumpongeza kwa kuandika hotuba ya Mkulu ya kupinga rasimu ya Warioba wanataka kummaliza.
mshana jr said: View attachment 205021 Click to expand... Hawana shukurani hawa! Baada ya kumpongeza kwa kuandika hotuba ya Mkulu ya kupinga rasimu ya Warioba wanataka kummaliza.
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,633 697,782 Nov 24, 2014 Thread starter #8 Ngekewa said: Hawana shukurani hawa! Baada ya kumpongeza kwa kuandika hotuba ya Mkulu ya kupinga rasimu ya Warioba wanataka kummaliza. Click to expand... Something is behind the scene...!!!
Ngekewa said: Hawana shukurani hawa! Baada ya kumpongeza kwa kuandika hotuba ya Mkulu ya kupinga rasimu ya Warioba wanataka kummaliza. Click to expand... Something is behind the scene...!!!
N Ngekewa JF-Expert Member Jul 8, 2008 7,705 1,288 Nov 24, 2014 #9 mshana jr said: Something is behind the scene...!!! Click to expand... Lakini inajulikana Wanasiasa hawana marafiki, wala maadui wa kudumu, rafiki wa kila siku ni kitu kinachoitwa 'maslahi' basi.
mshana jr said: Something is behind the scene...!!! Click to expand... Lakini inajulikana Wanasiasa hawana marafiki, wala maadui wa kudumu, rafiki wa kila siku ni kitu kinachoitwa 'maslahi' basi.
Gwangambo JF-Expert Member Jun 30, 2012 3,638 1,207 Nov 24, 2014 #10 Baba kawachoma wenzake, lazima wamuue aiseee!