Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,776
Wana wa Bodi , awali ya yote nimisalimieni.
Habarini za jioni !
Ifahamike naandika haya nikiwa sipo nyumbani kwangu aidha niseme niko ugenini , ambapo nimefikia kwa jamaa yangu.
Leo mchana wakati natoka hapo nilipofikia kwenda bus stage nikiwa nimevaa jacket , kwa nje palikua pameanikwa nguo kwenye kamba zilizokua takriban line 3-4 hivi.
Katika penyapenya kumbe moja ya chupi za kike zilizokua kambani ikaninasa begani.
Ule upande wa maungio ambapo ndiyo hua karibu na nanihino pale chupi inapokua maungoni ndiyo palikua pako juu ya bega langu (eneo ambalo wajeda au wasoja huwekaga nyota zao za vyeo)
Na ule upande mkubwa wa kiuno ukawa umeangukia nyuma ya bega kwa mgongoni .
Na kwakua nilitoka huku nikiongea na simu ikiwa sikio la kulia, na hukohuko kunako bega la kulia ndiko kuliko beba kabati ya wenyewe!
Hivyo ikachangia kabisaa kushtukia!
Wadau hii story aslani haina hata one element ya KICHItichati ! It's absolutely true!
Nakaribia kufika bus stage ndipo msamaria mmoja ananishtua "muzee mbona ako na chupi kwa Mgongo ? "
Na kwa vile ilikua bado mbichi ndivyo ilivyochangia ugumu wa kutodondoka.
Ndiyo nikaitoa nakuitia mfuko wa jacket , na kwakua sijarejea hapo nilipo hadi hv ninayo jacketini.
Mahesabu yangu nikirudi ndy niirejeshe kimyakimya, ama nikikuta washaanua zote naitupa chini ya kamba.
Nipeni pole basi .
Habarini za jioni !
Ifahamike naandika haya nikiwa sipo nyumbani kwangu aidha niseme niko ugenini , ambapo nimefikia kwa jamaa yangu.
Leo mchana wakati natoka hapo nilipofikia kwenda bus stage nikiwa nimevaa jacket , kwa nje palikua pameanikwa nguo kwenye kamba zilizokua takriban line 3-4 hivi.
Katika penyapenya kumbe moja ya chupi za kike zilizokua kambani ikaninasa begani.
Ule upande wa maungio ambapo ndiyo hua karibu na nanihino pale chupi inapokua maungoni ndiyo palikua pako juu ya bega langu (eneo ambalo wajeda au wasoja huwekaga nyota zao za vyeo)
Na ule upande mkubwa wa kiuno ukawa umeangukia nyuma ya bega kwa mgongoni .
Na kwakua nilitoka huku nikiongea na simu ikiwa sikio la kulia, na hukohuko kunako bega la kulia ndiko kuliko beba kabati ya wenyewe!
Hivyo ikachangia kabisaa kushtukia!
Wadau hii story aslani haina hata one element ya KICHItichati ! It's absolutely true!
Nakaribia kufika bus stage ndipo msamaria mmoja ananishtua "muzee mbona ako na chupi kwa Mgongo ? "
Na kwa vile ilikua bado mbichi ndivyo ilivyochangia ugumu wa kutodondoka.
Ndiyo nikaitoa nakuitia mfuko wa jacket , na kwakua sijarejea hapo nilipo hadi hv ninayo jacketini.
Mahesabu yangu nikirudi ndy niirejeshe kimyakimya, ama nikikuta washaanua zote naitupa chini ya kamba.
Nipeni pole basi .
Last edited by a moderator: