alberttt
Member
- Sep 30, 2016
- 50
- 120
20,000 zinakua pisi 50Mkuu ni bei gan Hizo
20,000 zinakua pisi 50Mkuu ni bei gan Hizo
OK poa mAnAke moja 40020,000 zinakua pisi 50
kwa hawaida zinauzwa kati ya sh tsh 120 mpaka tsh 150. sijaelewa huyu anaeuza sh 400,Unatoa ofa ya shilingi ngapi tufanye kazi
Unachukulia wapi kakakwa hawaida zinauzwa kati ya sh tsh 120 mpaka tsh 150. sijaelewa huyu anaeuza sh 400,
hapa mm Napata 200ml kwa sh 120 with dome. na kwa 400ml kwa tsh 150
yaani wewe kumbe nwe upo huku hahahahaaaaaaNdugu nimekuinbox picha .. ..ziada pia niliwahi sikia sido huwa kunapatikana vifungashio vya namna kadha wa kadha
naomba nami nielekeze hapo kiwandani niende kununua chupa za asaliWapendwa nashukuru sana kwa michango yenu kwenye hii mada kwani nimefanikiwa kupata chupa leo asubuhi kutoka kiwandani. Kiwanda kipo mbezi makonde kuna njia inaingia upande wa kushoto baada ya kituo cha dala dala ukitokea mwenge.
mimi nachukulia kwenye masuper market wanauza kama ifuatavyo.Unachukulia wapi kaka
Pamoja Mkuuu shukranmimi nachukulia kwenye masuper market wanauza kama ifuatavyo.
disposable plastic glass
200ml + lid X 50 wanauza sh 6,000/
400ml + dome/lid X 50 wanauza sh 7,500/
ila kiwandani itakuwa cheaper
Na Mimi nielekezeUko wapi nikuelekeze au uje pm
Wapiikwa hawaida zinauzwa kati ya sh tsh 120 mpaka tsh 150. sijaelewa huyu anaeuza sh 400,
hapa mm Napata 200ml kwa sh 120 with dome. na kwa 400ml kwa tsh 150
Sawa naomba nami unielekezeWapendwa nashukuru sana kwa michango yenu kwenye hii mada kwani nimefanikiwa kupata chupa leo asubuhi kutoka kiwandani. Kiwanda kipo mbezi makonde kuna njia inaingia upande wa kushoto baada ya kituo cha dala dala ukitokea mwenge.
Inategemea uko mkoa gani mkuuNa
Na Mimi nielekeze
Nipo hapa hapa DarInategemea uko mkoa gani mkuu
Nenda kiwanda cha simba plastikiNipo hapa hapa Dar
Asante sanaNenda kiwanda cha simba plastiki