Wakuu naombeni mnijuze kuhusu chuo kizuri kwa ajili ya kozi ya famasia na gharama zake.
Pia napenda kujua kazi za mfamasia hapa Tanzania.
Vipi MD?Pharmacy utaishia kuuza duka tu, achana na hiyo course
We mdau bhana..... sijui una elimu gani...Pharmacy utaishia kuuza duka tu, achana na hiyo course
kwa sekta ya afya kozi nzuri ususani kipindi hiki mm naona ni laboratory technology labda na md
Umesema kweli kabisakwa sekta ya afya kozi nzuri ususani kipindi hiki mm naona ni laboratory technology labda na md
mkuu unaona kama sijatoa heshima zakutosha kwa MDs au!?Labda na MD.
Aisee una shida mkuu
Mambo yako laboratory! MD utaishia kuhangaika na part time kwenye hospitali za watu baada ya saa za kazi! Ni gharama sana MD kujiajiri! Pharmacy inafuatia kwa uzuri baada ya laboratory japo kazi yake haina hadhi sana maana mbele ya jamii pharmacist ni muuza madawa japo ni nzuri kwa urahisi wa kujiajiri