wajameni,naomba mniambie chuo kinachotoa course inayo jitegemea ya project manaement kwa mtindo wa evening classes na iwe ni kati ya miezi mitatu hadi mwaka,kiwe kinajulikana na kiwe hapahapa bongo-dar es salaam.nahitaji hii kozi na kwa vile nabananishwa na mambo ya ofisi nahitaji nisome after office hours.pia niambiwe ni aina gani ya cheti kinachotolewa baada ya kumaliza.