Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Kwa miaka ya karibu kumekua na Idadi kubwa ya Wanafunzi wa Post Graduate katika Chuo kikuu Cha Dar es Salaam wanaoshindwa kumaliza masomo yao. Wengi wao ni kutokana na baadhi ya Wahadhiri kutofuata ratiba za wanafunzi haswa kwenye eneo la Thesis.
Walimu wanajitia ubusy usio na sababu, mtu ana submit kazi yake lakini msimamizi hajali muda, yuko anahangaika na mishe zake na mwisho mwanafunzi anashindwa kumaliza kwa wakati.
Yaani wanasahau kabisa kuwa wengine wameomba ruksa makazini na muda hio ukiisha wanarejea bila kuwa wamemaliza. Kiukweli hili limekua tatizo kubwa kias kwamba kila ukitaka kujiunga na chuo unakutana na ushauri wa wengi wanaoteseka na hizi mambo kiasi unakata tamaa.
Ninadhani kunahitajika kufanyika jambo
Walimu wanajitia ubusy usio na sababu, mtu ana submit kazi yake lakini msimamizi hajali muda, yuko anahangaika na mishe zake na mwisho mwanafunzi anashindwa kumaliza kwa wakati.
Yaani wanasahau kabisa kuwa wengine wameomba ruksa makazini na muda hio ukiisha wanarejea bila kuwa wamemaliza. Kiukweli hili limekua tatizo kubwa kias kwamba kila ukitaka kujiunga na chuo unakutana na ushauri wa wengi wanaoteseka na hizi mambo kiasi unakata tamaa.
Ninadhani kunahitajika kufanyika jambo