Chuo Kikuu Muhimbili namba moja

Quimica

JF-Expert Member
Feb 21, 2018
1,029
1,251
Habari,

Kama juzi kati mliona ilikuwa inavuma sana mitandaoni baada ya Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kuweza kuibuka kinara Africa Mashariki na Africa ya Kati kwa kuwapiku vyuo vikubwa ikiwemo Chuo Kikuu cha Nairobi, Kenya na Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaaam (UDSM).

Vilevile Chuo cha Muhimbili kiwefanikiwa kuwa namba 401 kwa ubora kati ya vyuo vikuu 20,000 (elfu Ishirini) vilivyopo Dunia nzima. Chuo cha Muhimbili kinapatikana Upanga, Wilaya ya Ilala Dar-es-salaaam. Na Takwimu hizo zimetolewa na tovuti kubwa duniani ya kutoa takwimu ya vyuo vikuu Iitwayo Times Higher Education ambapo;

~Muhimbili University 401
~ University of Nairobi 601
~ Makerere University 801
~ University Of Dar-es-Salaam (UDSM) 1501

Ubora wa Chuo cha muhimbili umetokana na kuongezeka kwa tafiti za wanafunzi na wahadhiri kuongezeka kwa nukuu pamoja na ufundishaji.


Ma3stro De Quimica !!!OP
Screenshot_20221016-160857_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20221022-101803_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20221022-101954_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20221016-171835_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20221016-160958_Samsung%20Internet.jpg

View attachment 2394438
 
Habari,

Kama juzi kati mliona ilikuwa inavuma sana mitandaoni baada ya Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kuweza kuibuka kinara Africa Mashariki na Africa ya Kati kwa kuwapiku vyuo vikubwa ikiwemo Chuo Kikuu cha Nairobi, Kenya na Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaaam (UDSM).

Vilevile Chuo cha Muhimbili kiwefanikiwa kuwa namba 401 kwa ubora kati ya vyuo vikuu 20,000 (elfu Ishirini) vilivyopo Dunia nzima. Chuo cha Muhimbili kinapatikana Upanga, Wilaya ya Ilala Dar-es-salaaam. Na Takwimu hizo zimetolewa na tovuti kubwa duniani ya kutoa takwimu ya vyuo vikuu Iitwayo Times Higher Education ambapo;

~Muhimbili University 401
~ University of Nairobi 601
~ Makerere University 801
~ University Of Dar-es-Salaam (UDSM) 1501

Ubora wa Chuo cha muhimbili umetokana na kuongezeka kwa tafiti za wanafunzi na wahadhiri kuongezeka kwa nukuu pamoja na ufundishaji.


Ma3stro De Quimica !!!OPView attachment 2394378View attachment 2394380View attachment 2394381View attachment 2394382View attachment 2394383
View attachment 2394438
Muhimbili we iache tu siku hizi. Kwa sasa ina uwezo wa kuzalisha madaktari ambao wakikaa theatre kufanya kazi, matokeo yake yakitoka utadhani kazi ilifanywa na malaika waliokuwa wameshuka kutoka mbinguni! They deserve
 
Habari,

Kama juzi kati mliona ilikuwa inavuma sana mitandaoni baada ya Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kuweza kuibuka kinara Africa Mashariki na Africa ya Kati kwa kuwapiku vyuo vikubwa ikiwemo Chuo Kikuu cha Nairobi, Kenya na Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaaam (UDSM).

Vilevile Chuo cha Muhimbili kiwefanikiwa kuwa namba 401 kwa ubora kati ya vyuo vikuu 20,000 (elfu Ishirini) vilivyopo Dunia nzima. Chuo cha Muhimbili kinapatikana Upanga, Wilaya ya Ilala Dar-es-salaaam. Na Takwimu hizo zimetolewa na tovuti kubwa duniani ya kutoa takwimu ya vyuo vikuu Iitwayo Times Higher Education ambapo;

~Muhimbili University 401
~ University of Nairobi 601
~ Makerere University 801
~ University Of Dar-es-Salaam (UDSM) 1501

Ubora wa Chuo cha muhimbili umetokana na kuongezeka kwa tafiti za wanafunzi na wahadhiri kuongezeka kwa nukuu pamoja na ufundishaji.


Ma3stro De Quimica !!!OPView attachment 2394378View attachment 2394380View attachment 2394381View attachment 2394382View attachment 2394383
View attachment 2394438
No1
P-IMG-20221016-WA0071.jpg
 
Back
Top Bottom