mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Maskini wanafunzi hao nawaonea huruma,wizara pia haija toa ada kwa wanafunzi wa masters na MUHAS imesema haitatoa matokeo ya mitihani yao,ni kweli serikali imejifilisi kwa kutosimamia vyema raslimali zetu na ccm ndo ukoma unaotumalizi,pengine pesa zimewekwa sehemu ya bari kusubiri kuhonga wagagagikoko wengangu kama wagagagigikoko wa arumeru kwa wameru wanavyopewa rushwa na chama cha majambazi