Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Askari Polisi nchini humo wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wanaondelea na mgomo katika Chuo Kikuu cha Makerere
Wanafunzi wamedai kuwa Polisi hao wametumia risasi za moto dhidi ya Wanafunzi waliokuwa vyumbani katika bweni la Mitchell
Wanafunzi wa chuo hicho wako kwenye mgomo wakipinga ongezeko la 15% katika malipo yao ya ada kwa ajili ya masomo
Wanafunzi wamedai kuwa Polisi hao wametumia risasi za moto dhidi ya Wanafunzi waliokuwa vyumbani katika bweni la Mitchell
Wanafunzi wa chuo hicho wako kwenye mgomo wakipinga ongezeko la 15% katika malipo yao ya ada kwa ajili ya masomo