Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 4,809
- 6,050
Nilikuwa na Elimu ya kidato cha nne Div.four ya 31. Nilipiga foundation course Mwaka mmoja Open University na baada ya kuhitimu nilidahiliwa kusoma Bachelor degree of Human resources(BHRM).
Kwa sasa nina degree sawa tu na jamaa zangu waliofanya vizuri mitihani ya O level na A level na kuendelea na elimu ya Juu.
Kwa sasa nina degree sawa tu na jamaa zangu waliofanya vizuri mitihani ya O level na A level na kuendelea na elimu ya Juu.