Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,217
Nimeshangaa sana kuona chuo kikubwa na kikongwe afrika ya mashariki kinaanza kudidimia.
Ukweli usipingika ni kuwa chuo kikuu chochote bora ni lazima kiwe kimepika na kuwa na tafiti bora kabisa. Chuo kisichofanya tafiti bora ni sawa na sekondari tu.
Mwaka huu wa 2021 Kuna mabadiliko makubwa sana yanafanywa na wenzetu huko kwenye suala.zima la teknolojia. Vyuo vikuu na wasomi wake wanakesha kuja na tafiti bora ili kukuza teknolojia.
Nimeshangazwa na tuzo aliyopewa chemical ya tafiti bora kwa wanafunzi wa masters.
Inafikirisha na kuhuzunisha sana, kweli nyimbo wanazoimba wavuvi wakiwa wanavua ndio tafiti hiyo?
Namnukuu chemical "nilikuwa nikienda kisimani mkoani Lindi, wanawake wanalalamika kuwa wanaimbwa nyimbo mbaya na waume zao wakiwa kwenye shughi zao za uvuvi, hapo ndio nikaamua kufanya tafiti ya nyimbo wanazoimba"
Tafiti bora ya chuo kikuu kikongwe kabisa inahusu nyimbo za wavuvi wakiwa wanaimba kwenye shughuli zao za uvuvi?......astaghfirullah, astaghfirullah, astaghfirullah.
Na hapa ndio kuna siku tunataka Tanzania tuwe na viwanda vya kutengeneza magari na ndege?
Nilitegemea tafiti bora iwe kwenye waliotafiti kuhusu kukua kwa teknolojia na sio eti nyimbo wanazoimba wavuvi.
Tafiti bora ziwe kwenye masuala ya sayansi na teknolojia, ndio dunia ilipo huku. Tunahitaji kuwa na akina elon musk wetu.
Tunachangamoto kibao kwenye masuala ya sayansi na teknolojia ambapo wasomi wetu wanapaswa kuelekeza nguvu zaidi huku.
Sijui Kama tutafika ikiwa chuo kikuu kikongwe na kinachotegemewa kinatoa ushindi wa tafiti bora inayohusu nyimbo za wavuvi.
Ukweli usipingika ni kuwa chuo kikuu chochote bora ni lazima kiwe kimepika na kuwa na tafiti bora kabisa. Chuo kisichofanya tafiti bora ni sawa na sekondari tu.
Mwaka huu wa 2021 Kuna mabadiliko makubwa sana yanafanywa na wenzetu huko kwenye suala.zima la teknolojia. Vyuo vikuu na wasomi wake wanakesha kuja na tafiti bora ili kukuza teknolojia.
Nimeshangazwa na tuzo aliyopewa chemical ya tafiti bora kwa wanafunzi wa masters.
Inafikirisha na kuhuzunisha sana, kweli nyimbo wanazoimba wavuvi wakiwa wanavua ndio tafiti hiyo?
Namnukuu chemical "nilikuwa nikienda kisimani mkoani Lindi, wanawake wanalalamika kuwa wanaimbwa nyimbo mbaya na waume zao wakiwa kwenye shughi zao za uvuvi, hapo ndio nikaamua kufanya tafiti ya nyimbo wanazoimba"
Tafiti bora ya chuo kikuu kikongwe kabisa inahusu nyimbo za wavuvi wakiwa wanaimba kwenye shughuli zao za uvuvi?......astaghfirullah, astaghfirullah, astaghfirullah.
Na hapa ndio kuna siku tunataka Tanzania tuwe na viwanda vya kutengeneza magari na ndege?
Nilitegemea tafiti bora iwe kwenye waliotafiti kuhusu kukua kwa teknolojia na sio eti nyimbo wanazoimba wavuvi.
Tafiti bora ziwe kwenye masuala ya sayansi na teknolojia, ndio dunia ilipo huku. Tunahitaji kuwa na akina elon musk wetu.
Tunachangamoto kibao kwenye masuala ya sayansi na teknolojia ambapo wasomi wetu wanapaswa kuelekeza nguvu zaidi huku.
Sijui Kama tutafika ikiwa chuo kikuu kikongwe na kinachotegemewa kinatoa ushindi wa tafiti bora inayohusu nyimbo za wavuvi.