DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Unadhani na wao wana ulimbukeni kama hao marais wenu wa Afrika. After all mwafrika akili bado haja mature mentally ndio maana kuna sarakasi nyingi sana za kipumbavu zinazofanywa na watu wazima wenye mandevu.Hivi mbona Marekani viongozi wao huwa hawatumii Dr au Prof au mheshimiwa. Wanaitwa kavu tu.