Kigogo2020
Senior Member
- Oct 22, 2019
- 171
- 323
Ameona afiche aibu yake ya PhD feki kwa kupewa huo uchafu.
Baada ya uzinduzi wa kitabu cha yule mstaafu wa Lupaso. Akakaa nae akamuomba yeye kama mkuu wa chuo cha kata afanye mpango wa kumpa phd ya mezani ili kuua so la phd feki
RIP Ben Saanane
Baada ya uzinduzi wa kitabu cha yule mstaafu wa Lupaso. Akakaa nae akamuomba yeye kama mkuu wa chuo cha kata afanye mpango wa kumpa phd ya mezani ili kuua so la phd feki
RIP Ben Saanane