Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) kimeongoza kwa kudahili wanafunzi wengi mwaka huu

Unapoongelea kupeleza sifa huwezi kuifungia MD ya KCMC erti hajna sifa ukaiacha MD ya UDOM, ni fitna tu vyuo vya MD hapa bongo vinavyojielewa ni MUHAS ,Bugando,KCMC,IMTU,HKMU wengine fata upepo
Acha pumba kijana.no research,no right to speak,wenzako wanaojielewa wanaingia mtaani kupeleleza kwanza,hebu nenda huko kwenye field mahospitalini ukaulize products za UDOM zinachofanya
 
Mkuu hakuna mtu wa kuifanyia fitina taasisi nyeti kama KCMC,

Serikali haibahatishi, wana standard zao na research za kuprove ubora wa elimu.

Usilazimishe watu tuelewe kwamba serikali inapendelea vyuo.

Mm nimemuuguza ndugu yangu ktk hospital ya rufaa mbeya ambayo kwa kiasi kikubwa inahudumiwa na wanafunzi wa UDOM,
Niliona na kushuhudia utendaji wao,

Nnachoweza kusema,
Mungu awabariki sana vijana wale kwa maana wanafanya kile kilichotegemewa wafanye.

Na hawa wanaosema Udom takataka yawezekana ni vichaa wanaostahili kua ktk matibabu ya ukichaa
Wewe n mmoja kati ya wengi ambao wameshakutana na impact ya product za UDOM,hebu muache nayeye atashuhudia kwa macho yake one day, its not easy to change his altitude towatd udom easly
 
Tatizo la UDOM sio WAALIMU Ttz liko kwenye miundombinu hasa upande wa lecture room na theatre ni chache mno au niseme ni ndogo.Ukienda COED utakuta kuna kuwa mlundikano mkubwa sana hasa kipind cha core courses. Lecture room na theatre zinakuwa ni ndogo.labda kama watabadili mfumo wa ufundishaji kwa kutumia technology kama video conference nk inaweza saidia. Na kile chuo bado hakijakamilika hata kidogo
Hii n changamoto ya kawaida inasolvika.Hivi hujui Tanzania hii kuna vyuo watu wanapishana semister na kuwa na likizo za ajabu kwasababu ya miundombinu
 
nyie nyote mnaoongea mpo udom au tetesi tu mnazisikia kwa watu? am proud kuwa udom kwa sababu hata nilipotoka kulikuwa na changamoto zake kwa hyo hata chuoni pia nategemea changamoto
 
Back
Top Bottom