Chuo kikuu cha Dar es Salaam kilianza rasmi 01/10/1961. Ni kina nani wanafunzi 14 wa Kwanza wa Kitivo cha Sheria ambao ndiyo wazinduzi wa chuo hiki?

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,223
6,467
Wadau habari za Jumapili?

Historia inaonesha chuo kikuu cha UDSM kilianza rasimi 01/10/1961. Kilianza na Kitivo cha Sheria, yaani Faculty of Law ikiwa na wanafunzi 14 tu.

Baadae kadri muda unavyokwenda vitivo vingine viliongezwa sambamba na udahili wa wanafunzi kuongezwa.

Saivi ni chuo cha pili kwa kudahili wanafunzi wengi nchini baada ya UDOM.

Swali: Wanafunzi 14 wa kwanza kabisa wa chuo hiki walikuwa wakina nani? Unaweza kutaja baadhi Kama wafahamu na nafasi walizokuja kutumikia serikalini.

Naamini JF ni kisima cha Elimu na Maarifa.

Asanteni kwa ushirikiano wenu.
 
Wadau habari za Jumapili?

Historia inaonesha chuo kikuu cha UDSM kilianza rasimi 01/10/1961. Kilianza na Kitivo cha Sheria, yaani Faculty of Law ikiwa na wanafunzi 14 tu.

Baadae kadri muda unavyokwenda vitivo vingine viliongezwa sambamba na udahili wa wanafunzi kuongezwa.

Saivi ni chuo cha pili kwa kudahili wanafunzi wengi nchini baada ya UDOM.

Swali: Wanafunzi 14 wa kwanza kabisa wa chuo hiki walikuwa wakina nani? Unaweza kutaja baadhi Kama wafahamu na nafasi walizokuja kutumikia serikalini.

Naamini JF ni kisima cha Elimu na Maarifa.

Asanteni kwa ushirikiano wenu.
Miongoni mwa wanafunzi wa kwanza wa chuo hicho ni

Jaji sinde walioba

Prof banyikwa ( marehemu)

Prof. William rugumani ( UDSM recture)

Na wengine nimewasahau
 
Wadau habari za Jumapili?

Historia inaonesha chuo kikuu cha UDSM kilianza rasimi 01/10/1961. Kilianza na Kitivo cha Sheria, yaani Faculty of Law ikiwa na wanafunzi 14 tu.

Baadae kadri muda unavyokwenda vitivo vingine viliongezwa sambamba na udahili wa wanafunzi kuongezwa.

Saivi ni chuo cha pili kwa kudahili wanafunzi wengi nchini baada ya UDOM.

Swali: Wanafunzi 14 wa kwanza kabisa wa chuo hiki walikuwa wakina nani? Unaweza kutaja baadhi Kama wafahamu na nafasi walizokuja kutumikia serikalini.

Naamini JF ni kisima cha Elimu na Maarifa.

Asanteni kwa ushirikiano wenu.
Mama Balozi Julie Manning
 
Miongoni mwa wanafunzi wa kwanza wa chuo hicho ni

Jaji sinde walioba

Prof banyikwa ( marehemu)

Prof. William rugumani ( UDSM recture)

Na wengine nimewasahau

Mkuu kama nimemwelewa alieleta uzi alikuwa anauliza wanafunzi wa kwanza kwenye kitivo cha sheria. Prof Banyikwa (RIP) hakusoma sheria alikuwa wa Elimu Mimea (Botany). Au labda sio huyo...
Shukurani
 
Marehemu Jaji Mussa Kwikima.
Amefariki mwaka huu mwanzoni Kama sikosei.

1601903028363.png
 
Back
Top Bottom