balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,437
- 12,559
Hii mada imepitia kwa kwa BuzaProf. Mgongo Nditi Fimbo
Huwezi ukamtenga na Sheria ya ardhi ya mwaka 1999.
Hii mada imepitia kwa kwa BuzaProf. Mgongo Nditi Fimbo
Huwezi ukamtenga na Sheria ya ardhi ya mwaka 1999.
Wahitimu wa vyuo vya kata.Hata Warioba wanaandika Walioba.Atakuwa TID huyu,mnyama ,Top in DarKweli humu ndani kiingereza ni shida jamani! Sasa ‘recture’ ndiyo takataka gani jamani! Unaweza kujaambiwa aliyeandika huu utipolo kamaliza Chuo Kikuu! Sasa mtu kama huyu kuna haja ya kumuajiri kuwa hata mpishi kweli? Halafu Warioba anaandikwa ‘ Walioba’! Maajabu!
" kujaambiwa" "utipolo"
Kujaambiwa - kuambiwa
Utipolo - utopolo
Huko shule mlienda kusomea nini?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kajifunze kuandika kwanza kabla ya kukosoa watu waliokosea.....Nyie ndiyo lile lile kundi la vyuo vikuu vya Kata! Wallah kwa elimu hii na mnachopost ni bora mfanye kazi ya kuendesha bodaboda tu! Hakuna wa kuajiri watu wa aina yenu maana hizo ofisi zitajaa madudu tupu!
Nonsense
Joined date Feb 2021.Nyie ndiyo lile lile kundi la vyuo vikuu vya Kata! Wallah kwa elimu hii na mnachopost ni bora mfanye kazi ya kuendesha bodaboda tu! Hakuna wa kuajiri watu wa aina yenu maana hizo ofisi zitajaa madudu tupu!
Aliwahi sana tu wakati wa Nyerere, wewe ndiyo hujui! Nenda kwenye Google haraka sana kama hukuwepo wakati akiwa waziri wa sheria!
Nonsense
Nadhani unakusudia mark bomani, Paul alikuwa kaka, na Mark alisoma nje si TanganyikaPaul Bomani
Haya matusi unayotoa ni dhahiri umri wako ni mdogo haya ahsante mimi bwegePumbavu, bwege wewe
Recture ni taaluma mpya hapo UDSM?Miongoni mwa wanafunzi wa kwanza wa chuo hicho ni
Jaji sinde walioba
Prof banyikwa ( marehemu)
Prof. William rugumani ( UDSM recture)
Na wengine nimewasahau
Nadhani unakusudia mark bomani, Paul alikuwa kaka, na Mark alisoma nje si Tanganyika
Haya matusi unayotoa ni dhahiri umri wako ni mdogo haya ahsante mimi bwege
Hivi mnafahamu maana ya judge? Wekeni judgement yake hata moja hapa tuioneAnajifanya mjuaji wakati hajui lolote!
Kama baba yakoKwa sababu hujui kitu, kama kweli Julie Manning hakuwahi kuwa waziri wa sheria basi una shida kubwa tena kubwa sana kichwani!
Hivi mnafahamu maana ya judge? Wekeni judgement yake hata moja hapa tuione
Kivuitu na Manning ni sawa, lakini Bomani si sawa yeye alisoma njeSamwel Kivuitu aliyekuja kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Kenya,Jaji Maning,Jaji Mark Boman inatosha.
Nonsense, kwakweli we ni katoto huenda hata 28 hujavuka comments zako ni za kijukuu kabisaKwanza si ajabu hata Julie Manning mwenyewe humjui ndiyo maana unakaa kubishabisha tu hapa kama Kalumekenge!
Nonsense, kwakweli we ni katoto huenda hata 28 hujavuka comments zako ni za kijukuu kabisa
We kijana unajibizana nae hapa ni sawa na baba yako, hayo maelezo ya Wikipedia nimachache zaidi ya ninayoyafahamu, mpumzishe huyo mama ni kweli ni mwanamke wa kwanza katika Taaluma ya sheria Tanganyika lakini ujaji wake una mashaka huko katika A G nimekwisha toka mtoto huelewiJulie Catherine Manning was a Tanzanian lawyer, judge and politician. The first Tanzanian woman to study law, she was a High Court judge before serving as Minister of Justice from 1975 to 1983.
Julie Manning
High Court judge
Incumbent
Assumed office
1973
Life
References
Last edited 11 months ago by Liverpoolpics
RELATED ARTICLES
Kalpana Rawal
Kenyan judge
Tujilane Chizumila
Malawian lawyer and jurist
Augustine Saidi
Content is available under CC BY-SA 3.0 unless otherwise noted.
Privacy policy Terms of Use Desktop
Hii mada imepitia kwa kwa Buza
SawaKivuitu na Manning ni sawa, lakini Bomani si sawa yeye alisoma nje