menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
Wakuu,
Chuo kikuu cha Dar es salaam yaani UDSM ndio chuo chenye mazingira bora zaidi Africa. Kampuni ya ma inginia bora kutoka Israel walifanya kazi bora sana. Miaka zaidi ya 60 sasa bado UDSM ina mvuto wa kutosha. Mvuto Na ubora wa chuo hiki umeongezwa na Library kubwa kabisa Africa Mashariki na Kati uliojengwa kwa msaada wa serekali ya China. Chakusikitisha pamoja Na ubora,,ukongwe na mvuto wa chuo hiki bado hakipo hata kwenye 30 bora Africa. Wapi wanakwama?
Nawasilisha.
Chuo kikuu cha Dar es salaam yaani UDSM ndio chuo chenye mazingira bora zaidi Africa. Kampuni ya ma inginia bora kutoka Israel walifanya kazi bora sana. Miaka zaidi ya 60 sasa bado UDSM ina mvuto wa kutosha. Mvuto Na ubora wa chuo hiki umeongezwa na Library kubwa kabisa Africa Mashariki na Kati uliojengwa kwa msaada wa serekali ya China. Chakusikitisha pamoja Na ubora,,ukongwe na mvuto wa chuo hiki bado hakipo hata kwenye 30 bora Africa. Wapi wanakwama?
Nawasilisha.