DodomaChuo kinapatkana mkoa Gani ?
Duuuu we noma
Tafuta shule kwanza ikufundishe jinsi ya kuandika kiswahili kwa ufasaha,mod's badilisheni hapo kwenye heading pasomeke Hapa badala ya Apa.Napenda kuwa muandaaji wa sinema . naitaji kujua ni chuo Gani kinatoa mafunzo Na jinsi ya kuandaaa sinema .
Pia nisome nini ? naitaji kujua chuo pia Na gharama zake
Asanteni
Atakama Nina Chet cha kidato cha 4
4 division 4 vyeti vya mwaka 2013
Kwa Chet tajwa apo juu ..chuo college Gani itanifaa apa dar es salaam ...
HahahahahaHauna sifa ata ya kupita karibu na UDSM cha kufanya tafuta uliomaliza nao 2013 ambao mlikuwa mnacheza wakati walimu wakifundisha muanze kufundishana iyo sanaa yenu