Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna course gani ya afya hapoNjoo muhas uone wagonjwa,usisahau kubeba matunda......kwa hizo marks uende Kampala....heheheeee
Aksante, pia ni ushauriKilosa
Minimum cut point cha vyuo vya afya ni ngpiKwa ufaulu huo hupati chuo cha afya hata utembee uchi.
Ni ushauri ndio , namaanisha ukasome vyuo vya aina(diploma za afya)hiyoAksante, pia ni ushauri
Mkuu, we omba vyuo tu...Huwezi jua zali lako.Nina physics E chemistry E na biology C, naomba msaada ni course ipi naweza soma upande wa afya katika ngazi ya degree. Tafadhali naitaji msaada wa mawazo.
Shukrani mkuu, msaada mkubwa sana huuMkuu, we omba vyuo tu...Huwezi jua zali lako.
Hongera pia kwa ufaulu mzuri.
Usiwazingatie wadau wengine watakao kukatisha tamaa kuhusu kupata nafasi kwa vyuo fulani fulani.
Na kwa sababu vyuo vinatoa na nafasi za kuchagua zaidi ya moja, wee jaza Medicine, jaza Medical laboratory Sciences, jaza Nursing, jaza Pharmacy, chomekea na Ualimu wa Science.
Una ufaulu mzuri, hadi nasita kukushauri Diploma za Afya.
Kasome GUIDE BOOK, Kasome kozi zinazotolewa na Vyuo.
Ualimu wa Sciences usiuache (kama utakuwa na malengo sana ya kusoma Kozi za Afya hapo baadae,huu ualimu wa Sayansi utakupeleka huko bila shida
Unaweza pia kuomba "Veternary Medicine" (hapa naomba wadau wenye kujua madini ya hii wakupe).
Hongera kwa matokeo hayo, BIG UP.
Nina physics E chemistry E na biology C, naomba msaada ni course ipi naweza soma upande wa afya katika ngazi ya degree. Tafadhali naitaji msaada wa mawazo.
Hapo bongo hapana labda mamtoniNina physics E chemistry E na biology C, naomba msaada ni course ipi naweza soma upande wa afya katika ngazi ya degree. Tafadhali naitaji msaada wa mawazo.
Akichomeka ualimu tuu. . .imoMkuu, we omba vyuo tu...Huwezi jua zali lako.
Hongera pia kwa ufaulu mzuri.
Usiwazingatie wadau wengine watakao kukatisha tamaa kuhusu kupata nafasi kwa vyuo fulani fulani.
Na kwa sababu vyuo vinatoa na nafasi za kuchagua zaidi ya moja, wee jaza Medicine, jaza Medical laboratory Sciences, jaza Nursing, jaza Pharmacy, chomekea na Ualimu wa Science.
Una ufaulu mzuri, hadi nasita kukushauri Diploma za Afya.
Kasome GUIDE BOOK, Kasome kozi zinazotolewa na Vyuo.
Ualimu wa Sciences usiuache (kama utakuwa na malengo sana ya kusoma Kozi za Afya hapo baadae,huu ualimu wa Sayansi utakupeleka huko bila shida
Unaweza pia kuomba "Veternary Medicine" (hapa naomba wadau wenye kujua madini ya hii wakupe).
Hongera kwa matokeo hayo, BIG UP.
humu watu wanastress kishenziYaan unaacha kusoma mpaka unafeli unashinda jf 24/7?hicho ndo ulichovuna kilaz.a wew.