Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,546
108,876
Mmiliki wa Jengo hilo ( aliyewapangisha Wahanga wa Moto Mkubwa uliotokea ) ni Mzee Mwamba, ila anayekisimamia kwa sasa ni Mkewe Profesa Mwamba wa Chuo Kikuu fulani ambaye pia ni Rafiki wa Karibu mno na Mtanzania Muhimu ambaye hivi Karibuni tu amemfanya kuwa ni Mmoja wa Washauri wake Wakuu na kumpa Wadhifa fulani.

GENTAMYCINE niendelee Kuwapongeza Wabunge wa nchini Uganda kwa kuja na Muswada Maalum kuwa Watu wenye Mapenzi ya Jinsia Moja ( hasa Wanaume ) waitwao Mashoga wawe Wanafungwa Maisha au Wananyongwa kabisa.

Huwezi kufanya Jambo Baya au Kuyachafua Maandiko ya Mwenyezi Mungu halafu Laana yake isikupate na asikushushia Mabalaa makubwa ili kukupa Ujumbe kuwa unachokifanya ni kibaya japo unajifanya ni Mcha Mungu hasa.

Na Mtanzania Muhimu sana anawalinda wenye Chuo / Taasisi kwakuwa ni Yeye ndiyo amewakaribisha nchini halafu ni Mwenzao Kiimani na anakula nao kwani Taasisi hiyo iko nyuma ya Tajiri fulani Umoja wa Falme za Kiarabu ambaye yuko mbioni kuja Kuwekeza nchini Tanzania hasa katika Mkoa wa Dar es Salaam na kwamba tayari ameshajipatia maeneo mengi ( Ardhi ) nchini ili aendelee na Miradi yake huku akieneza Michezo michafu kwa Vijana na Wanaume wa Dini yao.
 
More news to come
Vifuatavyo ni Vituko vilivyokuwa katika Taasisi hiyo yenye Chuo cha Kiislamu ndani yake....

1. Mkristo hatakiwi hata Kufunguliwa Geti Kuingia

2. Ukiingia kama Mwanafunzi huruhusiwi kutoka nje hadi Umalize Kozi ( Masomo ) yao.

3. Msikiti umejengwa ndani ya Taasisi hiyo hivyo hutakiwi kwenda Kuabudu Kwingineko na ukienda ukirejea Unafukuzwa.

4. Wanafunzi hupewa Mafunzo ya Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu na Maandiko yake Matakatifu.

5. Wanafunzi waliofuzu vyema Mafunzo ya Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu hufuatwa na Wanaotaka kuona Practicals zao na Kuondoka nao kwa ruhusa Maalum kila Jumamosi na kurejeshwa Jumapili.

6. Kwakuwa tuko Mafunzoni hutakiwi Kulala peke yako kwani raha ya Masomo magumu mjifunze mkiwa Wawili

7. Kuna Vitabu Maalum vyenye Syllabus ya jinsi ya Kutenda Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu.

Hakuna Mkazi wa Goigi na Makonde ( zote Mbezi Beach ) asiyejua nini Kinaendela hapo kwani Kimeshalalamikiwa mno ila Wanalindwa na niliye Ziarani Mikoani.
 
Vifuatavyo ni Vituko vilivyokuwa katika Taasisi hiyo yenye Chuo cha Kiislamu ndani yake....

1. Mkristo hatakiwi hata Kufunguliwa Geti Kuingia

2. Ukiingia kama Mwanafunzi huruhusiwi kutoka nje hadi Umalize Kozi ( Masomo ) yao.

3. Msikiti umejengwa ndani ya Taasisi hiyo hivyo hutakiwi kwenda Kuabudu Kwingineko na ukienda ukirejea Unafukuzwa.

4. Wanafunzi hupewa Mafunzo ya Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu na Maandiko yake Matakatifu.

5. Wanafunzi waliofuzu vyema Mafunzo ya Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu hufuatwa na Wanaotaka kuona Practicals zao na Kuondoka nao kwa ruhusa Maalum kila Jumamosi na kurejeshwa Jumapili.

6. Kwakuwa tuko Mafunzoni hutakiwi Kulala peke yako kwani raha ya Masomo magumu mjifunze mkiwa Wawili

7. Kuna Vitabu Maalum vyenye Syllabus ya jinsi ya Kutenda Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu.

Hakuna Mkazi wa Goigi na Makonde ( zote Mbezi Beach ) asiyejua nini Kinaendela hapo kwani Kimeshalalamikiwa mno ila Wanalindwa na niliye Ziarani Mikoani.
Yana ukweli haya ?
 
Codes ni nyepesi mnooo yaan mnooo.

Kuhusu suala la ushoga hakuna kiongozi atakae thubutuu kutangaza wazi wazi kuwa ni illegal hapa nchini, hata aje mafia kiasi gani hawezi kamweee.

Nafikiri waanze kurekebisha vifungu vya sheria ktk katiba, na pia kwenye suala la haki za binadamu wakatafakari kwa kina kipi waishi nacho, pia misaada na mikopo je masharti yake ni sahihi kwa mustakabali wa nchi.

Kuna kiongozi mstaafu aliwahi sema "ukitaka kula sharti uliwe"

Mwenye masikio na asikie, mwenye macho na aone.

Khalhaghabhao.
 
Vifuatavyo ni Vituko vilivyokuwa katika Taasisi hiyo yenye Chuo cha Kiislamu ndani yake....

1. Mkristo hatakiwi hata Kufunguliwa Geti Kuingia

2. Ukiingia kama Mwanafunzi huruhusiwi kutoka nje hadi Umalize Kozi ( Masomo ) yao.

3. Msikiti umejengwa ndani ya Taasisi hiyo hivyo hutakiwi kwenda Kuabudu Kwingineko na ukienda ukirejea Unafukuzwa.

4. Wanafunzi hupewa Mafunzo ya Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu na Maandiko yake Matakatifu.

5. Wanafunzi waliofuzu vyema Mafunzo ya Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu hufuatwa na Wanaotaka kuona Practicals zao na Kuondoka nao kwa ruhusa Maalum kila Jumamosi na kurejeshwa Jumapili.

6. Kwakuwa tuko Mafunzoni hutakiwi Kulala peke yako kwani raha ya Masomo magumu mjifunze mkiwa Wawili

7. Kuna Vitabu Maalum vyenye Syllabus ya jinsi ya Kutenda Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu.

Hakuna Mkazi wa Goigi na Makonde ( zote Mbezi Beach ) asiyejua nini Kinaendela hapo kwani Kimeshalalamikiwa mno ila Wanalindwa na niliye Ziarani Mikoani.
Mh dhambi kuu isiyondeza Mungu ni dhambi gani 😄 🤣
 
Vifuatavyo ni Vituko vilivyokuwa katika Taasisi hiyo yenye Chuo cha Kiislamu ndani yake....

1. Mkristo hatakiwi hata Kufunguliwa Geti Kuingia

2. Ukiingia kama Mwanafunzi huruhusiwi kutoka nje hadi Umalize Kozi ( Masomo ) yao.

3. Msikiti umejengwa ndani ya Taasisi hiyo hivyo hutakiwi kwenda Kuabudu Kwingineko na ukienda ukirejea Unafukuzwa.

4. Wanafunzi hupewa Mafunzo ya Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu na Maandiko yake Matakatifu.

5. Wanafunzi waliofuzu vyema Mafunzo ya Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu hufuatwa na Wanaotaka kuona Practicals zao na Kuondoka nao kwa ruhusa Maalum kila Jumamosi na kurejeshwa Jumapili.

6. Kwakuwa tuko Mafunzoni hutakiwi Kulala peke yako kwani raha ya Masomo magumu mjifunze mkiwa Wawili

7. Kuna Vitabu Maalum vyenye Syllabus ya jinsi ya Kutenda Dhambi Kuu isiyompendeza Mwenyezi Mungu.

Hakuna Mkazi wa Goigi na Makonde ( zote Mbezi Beach ) asiyejua nini Kinaendela hapo kwani Kimeshalalamikiwa mno ila Wanalindwa na niliye Ziarani Mikoani.
Kama ni SHIA sitoshangaa..
 
Back
Top Bottom