Chuo cha uuguzi Lugalo hospital

Adm

Senior Member
Sep 19, 2010
149
45
WanaJF naomba mwenye ufahamu juu ya hili anifahamishe. Nimeambiwa kwamba pale Lugalo JWTZ camp DSM kuna chuo cha uuguzi, swali langu ni kweli hicho kipo? Pia je hicho chuo kina-train clinical officers na utaratibu wa kujiunga na chuo uko vipi?
 
mhh ni hv nimeskia kipo lkn sina uhakika sanaaa labda mwenye ufahamu anaweza aka2juza.

Kuhusu kujiunga kuna 4m zilikuwa zinatolewa kwenye website ya wizara afya. Unajaza zile gap zilizopo kwny hiyo 4m zen una2ma kwenye kanda kwan safar hii imebadili mfumo kidogo kwamba maombi nilazima yapitie kweny kanda iliyokarbu nawe wizara waliteua kituo cha kupokelea maombi ktk kila kanda.

Kwa sasa umechelewa mwisho wa ku2ma maombi ulikuwa ni tar 30 apr.
 
Wanajf naomba mwenye ufahamu juu ya hili anifahamishe. Nimeambiwa kwamba pale lugalo jwtz camp dsm kuna chuo cha uuguzi, swali langu ni kweli hicho kipo? Pia je hicho chuo kina-train clinical officers na utaratibu wa kujiunga na chuo uko vp?

Yap kipo kinaitwa Lugalo military medical school. kinatoa kozi tatu kuu Clinical Medicine (clinical officer), Nursing (Diploma) na Assistance Medical Officer (AMO). Kozi hizi huchanganya raia na askari kuwa darasa moja na hospital ya mazoezi ni hapo hapo lugalo general military hospital. ni chuo kikongwe sana toka 1980's. kupata form nenda chuoni ofisini kwao. Njia nzuri ya kufika nenda kama waenda lugalo hospital ukifika getini ulizia chuo utaelekezwa usisahau kubeba kitambulisho chako chochote ili utambulike getini. kwa kawaida form hutolewa kuanzia march hadi juni kama sijakosea bei ya kawaida na masomo huanza september kila mwaka. Specifications ni kama za wizara ya afya. kumbuka hiki ni chuo private si cha serikali.
 
Jamani nami pia nataka kumpeleka pale ndgu yangu nitafurahi kama nitapatiwa ufumbuzi kama bado fomu zinachukuliwa na mwisho wa kurudisha lini kwani nami nataka kumpeleka mdogo wangu certificate ya clinical officer|je pia nasikia akimaliza anaweza pata ajira ,vipi kuajiliwa jeshini inawezekana pia naombeni ufumbuzi kwani Ada yao kubwa sana pia...
Je akiwa anatokea temeke anaweza panda gari gani...
 
vigezo na maxharti ni yapi
Chuo kipo kinaendesha kozi tatu za afya ngazi ya diploma ambazo ni CLINICAL OFFICER, DIPLOMA IN NURSING NA ASSISTANT MEDICAL OFFICER(AMO)
Chuo kina mandhari nzuri na bei yake ni nafuu kwa wanaotaka kujiunga fomu zinapatikana chuoni LUGALO SCHOOL OF MEDICAL SCIENSE kilichopo maeneo ya Mwenge kama unaelekea Tegeta upande wa kulia baada ya kuvuka makongo kituo kinachofuata kinaitawa super shuka then vuka barabara upande wa pili utaona kibao kinachoelekeza chuo kilipo
 
Chuo kipo kinaendesha kozi tatu za afya ngazi ya diploma ambazo ni CLINICAL OFFICER, DIPLOMA IN NURSING NA ASSISTANT MEDICAL OFFICER(AMO)
Chuo kina mandhari nzuri na bei yake ni nafuu kwa wanaotaka kujiunga fomu zinapatikana chuoni LUGALO SCHOOL OF MEDICAL SCIENSE kilichopo maeneo ya Mwenge kama unaelekea Tegeta upande wa kulia baada ya kuvuka makongo kituo kinachofuata kinaitawa super shuka then vuka barabara upande wa pili utaona kibao kinachoelekeza chuo kilipo
Nitajia website yao nidownload form mkuu
 
Yap kipo kinaitwa Lugalo military medical school. kinatoa kozi tatu kuu Clinical Medicine (clinical officer), Nursing (Diploma) na Assistance Medical Officer (AMO). Kozi hizi huchanganya raia na askari kuwa darasa moja na hospital ya mazoezi ni hapo hapo lugalo general military hospital. ni chuo kikongwe sana toka 1980's. kupata form nenda chuoni ofisini kwao. Njia nzuri ya kufika nenda kama waenda lugalo hospital ukifika getini ulizia chuo utaelekezwa usisahau kubeba kitambulisho chako chochote ili utambulike getini. kwa kawaida form hutolewa kuanzia march hadi juni kama sijakosea bei ya kawaida na masomo huanza september kila mwaka. Specifications ni kama za wizara ya afya. kumbuka hiki ni chuo private si cha serikali.
Ni cha serikali
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom