Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) Acheni Arrogance; Part-Time Teaching Mnafanya Interview? Huko ni kudharau na kudhalilisha Watanzania

saigilomagema

JF-Expert Member
Jun 5, 2015
4,149
6,142
Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) ni chuo kinachomilikiwa na Serikali yetu kupitia wizara ya fedha. Kama ilivyo vyuo vingine vya elimu ya juu na vyuo vikuu wanakuwa na upungufu wa teaching staff(walimu). Tatizo la hawa jamaa ni arrogance yaani kujisikia, majivuni, kujiona wa kipekee wakati ukweli ni kwamba ni chuo cha kawaida kabisa hata siyo Univeristy.

Siku za hivi karibuni walitangaza nafasi kadhaa za part-time, walitaka utume CV na nakala(copies) za vyeti. Sasa cha ajabu eti part-time teaching unataka umfanyie interview mtu ambaye CV yake inaonesha tayari anafundisha aidha ktk chuo kingine cha elimu ya juu au chuo kikuu kingine? Are you serious guys? Kwa kazi ya miezi 4 tu? Mtu atoke Dar Es Salaam, Dodoma,Mwanza au Mbeya kuhudhuria interview siku 2 kwa kazi ya miezi 4?

Kwa hiyo nyie hamuamini vyuo vingine vya elimu ya juu vilivyowaajiri hao wahadhiri? Acheni kiburi na dharau kwa kudhani kuwa watanzania ni maskini kiasi hicho. Msiwanyanyase watanzania kwa kutumia kodi zao wenyewe, hizo pesa ni kodi za watanzania isiwaleweshe.

Nitamshangaa sana mtanzania atakayekubali udhalilishaji huu kwa kuhudhuria hayo ma-interview yao. Watakulipa nini kuzidi utu wako, viwango vyao vinajulikana kwa saa unalipwa sh. 18,000/ jumlisha 10,000/ ya nauli jumla sh. 28,000/. Kwa wiki utafundisha masaa 4 utavuna sh. 112,000/. Semester haizidi wiki 16 ukimaliza vizuri utaambulia sh.1,792,000/. Ukitoa gharama utakazokuwa umetumia plus hii ya interview huna cha maana utakachobakiwa nacho.

Point yangu hasa siyo malipo ni dharau na udhalilishaji eti mtu tayari umeshafundisha miaka pengine km 15 na zaidi ktk vyuo vingine uje ufanyiwe interview na vitoto vidogo kwa kazi ya muda mfupi. Ni vyuo vingi tu vinachukua part-timers hawafanyi upuuzi huu, unawapatia CV yako na pengine unaonesha vyeti au unawaachia nakala za vyeti inatosha. IAA badilikeni enendeni km wenzenu.
 
Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) ni chuo kinachomilikiwa na Serikali yetu kupitia wizara ya fedha. Kama ilivyo vyuo vingine vya elimu ya juu na vyuo vikuu wanakuwa na upungufu wa teaching staff(walimu). Tatizo la hawa jamaa ni arrogance yaani kujisikia, majivuni, kujiona wa kipekee wakati ukweli ni kwamba ni chuo cha kawaida kabisa hata siyo Univeristy.

Siku za hivi karibuni walitangaza nafasi kadhaa za part-time, walitaka utume CV na nakala(copies) za vyeti. Sasa cha ajabu eti part-time teaching unataka umfanyie interview mtu ambaye CV yake inaonesha tayari anafundisha aidha ktk chuo kingine cha elimu ya juu au chuo kikuu kingine? Are you serious guys? Kwa kazi ya miezi 4 tu? Mtu atoke Dar Es Salaam, Dodoma,Mwanza au Mbeya kuhudhuria interview siku 2 kwa kazi ya miezi 4?

Kwa hiyo nyie hamuamini vyuo vingine vya elimu ya juu vilivyowaajiri hao wahadhiri? Acheni kiburi na dharau kwa kudhani kuwa watanzania ni maskini kiasi hicho. Msiwanyanyase watanzania kwa kutumia kodi zao wenyewe, hizo pesa ni kodi za watanzania isiwaleweshe.

Nitamshangaa sana mtanzania atakayekubali udhalilishaji huu kwa kuhudhuria hayo ma-interview yao. Watakulipa nini kuzidi utu wako, viwango vyao vinajulikana kwa saa unalipwa sh. 18,000/ jumlisha 10,000/ ya nauli jumla sh. 28,000/. Kwa wiki utafundisha masaa 4 utavuna sh. 112,000/. Semester haizidi wiki 16 ukimaliza vizuri utaambulia sh.1,792,000/. Ukitoa gharama utakazokuwa umetumia plus hii ya interview huna cha maana utakachobakiwa nacho.

Point yangu hasa siyo malipo ni dharau na udhalilishaji eti mtu tayari umeshafundisha miaka pengine km 15 na zaidi ktk vyuo vingine uje ufanyiwe interview na vitoto vidogo kwa kazi ya muda mfupi. Ni vyuo vingi tu vinachukua part-timers hawafanyi upuuzi huu, unawapatia CV yako na pengine unaonesha vyeti au unawaachia nakala za vyeti inatosha. IAA badilikeni enendeni km wenzenu.
Hii ni TLS nyingine inazaliwa Arusha
 
Sasa kama waombaji ni wengi, huoni kama ni fair kufanya usaili.

kigezo cha uzoefu ni jambo zuri lakini kwa kufanya hivyo hata wewe uliefundisha miaka 15 utakosa nafasi kama kuna mwingine alifundisha miaka 16 nyuma.

Binafsi sijaona tatizo.

Pengine pendekeza utaratibu maalum

kama ni muda wa kufundisha waandike kabisa tunataka mzoefu wa miaka isiyopungua 15, ili wengine wasiombe.
ila sasa kama ni watu 10 wameomba na wote wamefikisha vigezo na wote wana vyeti vizuri watafanyaje au waandike majina kwenye vikaratasi wafumbe macho wachague kimoja kama bahati nasibu? 😂😂😂
 
Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) ni chuo kinachomilikiwa na Serikali yetu kupitia wizara ya fedha. Kama ilivyo vyuo vingine vya elimu ya juu na vyuo vikuu wanakuwa na upungufu wa teaching staff(walimu). Tatizo la hawa jamaa ni arrogance yaani kujisikia, majivuni, kujiona wa kipekee wakati ukweli ni kwamba ni chuo cha kawaida kabisa hata siyo Univeristy.

Siku za hivi karibuni walitangaza nafasi kadhaa za part-time, walitaka utume CV na nakala(copies) za vyeti. Sasa cha ajabu eti part-time teaching unataka umfanyie interview mtu ambaye CV yake inaonesha tayari anafundisha aidha ktk chuo kingine cha elimu ya juu au chuo kikuu kingine? Are you serious guys? Kwa kazi ya miezi 4 tu? Mtu atoke Dar Es Salaam, Dodoma,Mwanza au Mbeya kuhudhuria interview siku 2 kwa kazi ya miezi 4?

Kwa hiyo nyie hamuamini vyuo vingine vya elimu ya juu vilivyowaajiri hao wahadhiri? Acheni kiburi na dharau kwa kudhani kuwa watanzania ni maskini kiasi hicho. Msiwanyanyase watanzania kwa kutumia kodi zao wenyewe, hizo pesa ni kodi za watanzania isiwaleweshe.

Nitamshangaa sana mtanzania atakayekubali udhalilishaji huu kwa kuhudhuria hayo ma-interview yao. Watakulipa nini kuzidi utu wako, viwango vyao vinajulikana kwa saa unalipwa sh. 18,000/ jumlisha 10,000/ ya nauli jumla sh. 28,000/. Kwa wiki utafundisha masaa 4 utavuna sh. 112,000/. Semester haizidi wiki 16 ukimaliza vizuri utaambulia sh.1,792,000/. Ukitoa gharama utakazokuwa umetumia plus hii ya interview huna cha maana utakachobakiwa nacho.

Point yangu hasa siyo malipo ni dharau na udhalilishaji eti mtu tayari umeshafundisha miaka pengine km 15 na zaidi ktk vyuo vingine uje ufanyiwe interview na vitoto vidogo kwa kazi ya muda mfupi. Ni vyuo vingi tu vinachukua part-timers hawafanyi upuuzi huu, unawapatia CV yako na pengine unaonesha vyeti au unawaachia nakala za vyeti inatosha. IAA badilikeni enendeni km wenzenu.
Wee bwana hueleweki. Taasisi yoyote ya serikali lazima waweke tangazo kwenye viombo zaidi ya kimoja, wafanye interviews na waandike na kuhifadhi minutes ili wahasibu wakija kukagua, wakiuliza huyu bwana wa part time alipataje ajira, kwanini bwana A kapata na B kakosa, kuna ushadidi na uwazi wa process nzima kuanzia tangazo la ajira hadi matokeo ya interview. Unataka watumie CV pekee ilhali watu wanadanganya kuhusu qualifications na experience? Unakuta mtu anadai yeye ni mhadhiri wa chuo kikuu lakini akiitwa interview hata kujieleza hawezi.
 
Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) ni chuo kinachomilikiwa na Serikali yetu kupitia wizara ya fedha. Kama ilivyo vyuo vingine vya elimu ya juu na vyuo vikuu wanakuwa na upungufu wa teaching staff(walimu). Tatizo la hawa jamaa ni arrogance yaani kujisikia, majivuni, kujiona wa kipekee wakati ukweli ni kwamba ni chuo cha kawaida kabisa hata siyo Univeristy.

Siku za hivi karibuni walitangaza nafasi kadhaa za part-time, walitaka utume CV na nakala(copies) za vyeti. Sasa cha ajabu eti part-time teaching unataka umfanyie interview mtu ambaye CV yake inaonesha tayari anafundisha aidha ktk chuo kingine cha elimu ya juu au chuo kikuu kingine? Are you serious guys? Kwa kazi ya miezi 4 tu? Mtu atoke Dar Es Salaam, Dodoma,Mwanza au Mbeya kuhudhuria interview siku 2 kwa kazi ya miezi 4?

Kwa hiyo nyie hamuamini vyuo vingine vya elimu ya juu vilivyowaajiri hao wahadhiri? Acheni kiburi na dharau kwa kudhani kuwa watanzania ni maskini kiasi hicho. Msiwanyanyase watanzania kwa kutumia kodi zao wenyewe, hizo pesa ni kodi za watanzania isiwaleweshe.

Nitamshangaa sana mtanzania atakayekubali udhalilishaji huu kwa kuhudhuria hayo ma-interview yao. Watakulipa nini kuzidi utu wako, viwango vyao vinajulikana kwa saa unalipwa sh. 18,000/ jumlisha 10,000/ ya nauli jumla sh. 28,000/. Kwa wiki utafundisha masaa 4 utavuna sh. 112,000/. Semester haizidi wiki 16 ukimaliza vizuri utaambulia sh.1,792,000/. Ukitoa gharama utakazokuwa umetumia plus hii ya interview huna cha maana utakachobakiwa nacho.

Point yangu hasa siyo malipo ni dharau na udhalilishaji eti mtu tayari umeshafundisha miaka pengine km 15 na zaidi ktk vyuo vingine uje ufanyiwe interview na vitoto vidogo kwa kazi ya muda mfupi. Ni vyuo vingi tu vinachukua part-timers hawafanyi upuuzi huu, unawapatia CV yako na pengine unaonesha vyeti au unawaachia nakala za vyeti inatosha. IAA badilikeni enendeni km wenzenu.
Sasa ikiwa waombaji wako wengi watachujwaje?

Kufundisha chuo kingine sio hoja huenda uliipata nafasi kimagumashi.
 
Back
Top Bottom