REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,447
- 9,359
Tangu usajiri ufunguliwe awamu ya pili mwezi huu agosti chuo cha UDOM hamuelekweki watoto wanahangaika kuhusu usajili mmeweka namba pale wanapigiwa sm hawapokei ukimbahatisha mmoja ukimuiliza jibu lake subili dakika ishirini sasa kama hamtaki kufanya usajili tena semeni watoto wajue cha kufanya dakika ishirini siku ya nne hii
Maana tunafika nyumbani vijana hawana furaha ukiuiliza oooh UDOM hawajatoa control number mbona mnatia aibu
Mod naomba editing ni control number hapo juu
Maana tunafika nyumbani vijana hawana furaha ukiuiliza oooh UDOM hawajatoa control number mbona mnatia aibu
Mod naomba editing ni control number hapo juu