Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,834
- 38,717
Kweli kabisa,najivunia kuwa SUA AlumniWengi wao ni either wamesoma "jalalani" au walisha pita SUA wakaliwa kichwa...
Kweli kabisa,najivunia kuwa SUA AlumniWengi wao ni either wamesoma "jalalani" au walisha pita SUA wakaliwa kichwa...
Hongera sana mkuu!Kweli kabisa,najivunia kuwa SUA Alumni
Tatizo n hizo MB mkuu. But nilikuwa najoke tu, usichukulie serious coz kinachotuchapa huku kitaa n life tu. SUA, TEKU, UDOM, UDSM, SAUT nk wote tupo kwenye ngoma isiyo na kolasi🤣🤣🤣 ngoma ya mwanamalundi😆😆Kwa kweli sijui! angalia link iko hapo!
Haufatilii.Mbona hizo tafiti hatuzioni kwenye kutatua changamoto za kila siku za wananchi, kwenye statitistics Tz tuko safi ila practically impact Zero, Mwaka unaisha husikie uvumbuzi wowote kutoka katika hivyo vyuo.
Si ndipo alipotolewa yule KalamagandaUwage na staha bas khaaaah, kuita chuo kingine ni "jalalani".
Sio ustaarabu.
Hujui chochote wewe.Rais mwenyewe alipokuja 2017,alishangaa Sana kuona Jamii fupi za mipapai zilizogunduliwa SUA,pia aliona Panya wanaotumika kutegua mabomu na kupima km mtu ana kifua kikuu,halagu wewe Mwajuma Ndala ndefu unasema eti hakuna lolote.SUA hakuna lolote,tafiti na citation ila maeneo yapo useless na hakuna kilimo wala ufugaji wa maana;
chuo dhaifu sana kile
Usihukumu kitabu kwa kuangalia jalada lake la nje.SUA ni jina na sifa tu,ila hakuna lolote pale,ukifika ukaambiwa hiki ndio chuo cha kilimo,utapata maswali mengi sana na hakuna wa kuweza kujibu.
Ungewauliza Muhimbili,Bugando,KCMC,nk.Hivi kwenye kumtokomeza huyu mnyama covid 19, hicho chuo kina mchango gani
Muulize huyu kupopoma.COVID inahusiana vipi na kilimo?
Ebu pitia na hapa kiongozi...Moja kati ya kazi kuu za chuo chochote duniani ni TAFITI.
Chuo chochote hapa duniani kitaonekana bora kama kina wana sayansi (academicians) bora walio tuliza akili na kuandaa tafiti na ku publish tafiti zao kwenye juornal za kitaifa na kimataifa!
Kwa kuongoza kwenye citation ni ishara wazi kwamba SUA wana wanasayansi wanao fanya tafiti zenye tija duniani!
Na hii ndio sababu kuu wamekamata namba moja Tanzania!
Wakati madokta na maprofesa wa vyuo vingine wakitumia muda mwingi kuunga juhudi na kupiga siasa, hali ni tofauti kwa SUA!
Mimi kama Mtanzania mzalendo nachukua nafasi hii kukipongeza chuo kikuu cha kilimo Sokoine kwa hatua hii!!
Webometrics Ranking: Sokoine University of Agriculture ranked first place in citations
TRANSPARENT RANKING: Top Universities by Citations in Top Google Scholar profiles | Ranking Web of Universities: Webometrics ranks 30000 institutions
View attachment 1709313
budget kiongozi, budgetMbona hizo tafiti hatuzioni kwenye kutatua changamoto za kila siku za wananchi, kwenye statitistics Tz tuko safi ila practically impact Zero, Mwaka unaisha husikie uvumbuzi wowote kutoka katika hivyo vyuo.
inaua wakulimaCOVID inahusiana vipi na kilimo?
Watu wagumu sana aisee🤣umeona hili pia cc.
Nakubaliana na wewe maana kushika namba mbili sio mchezo.UDSM still is the best University in Tanzania
Tatizo n hizo MB mkuu. But nilikuwa najoke tu, usichukulie serious coz kinachotuchapa huku kitaa n life tu. SUA, TEKU, UDOM, UDSM, SAUT nk wote tupo kwenye ngoma isiyo na kolasi ngoma ya mwanamalundi
Hospitali kazi yake ni kutibu mkuu,tafiti zao ni fupi tu kujua kama una kipindupindu ama la wakupe mwarobainiUngewauliza Muhimbili,Bugando,KCMC,nk.