Chuo cha Sokoine (SUA) chashika namba moja Tanzania (Citations)

Kwa kweli sijui! angalia link iko hapo!
Tatizo n hizo MB mkuu. But nilikuwa najoke tu, usichukulie serious coz kinachotuchapa huku kitaa n life tu. SUA, TEKU, UDOM, UDSM, SAUT nk wote tupo kwenye ngoma isiyo na kolasi🤣🤣🤣 ngoma ya mwanamalundi😆😆
 
SUA hakuna lolote,tafiti na citation ila maeneo yapo useless na hakuna kilimo wala ufugaji wa maana;
chuo dhaifu sana kile
Hujui chochote wewe.Rais mwenyewe alipokuja 2017,alishangaa Sana kuona Jamii fupi za mipapai zilizogunduliwa SUA,pia aliona Panya wanaotumika kutegua mabomu na kupima km mtu ana kifua kikuu,halagu wewe Mwajuma Ndala ndefu unasema eti hakuna lolote.
 
Moja kati ya kazi kuu za chuo chochote duniani ni TAFITI.

Chuo chochote hapa duniani kitaonekana bora kama kina wana sayansi (academicians) bora walio tuliza akili na kuandaa tafiti na ku publish tafiti zao kwenye juornal za kitaifa na kimataifa!

Kwa kuongoza kwenye citation ni ishara wazi kwamba SUA wana wanasayansi wanao fanya tafiti zenye tija duniani!

Na hii ndio sababu kuu wamekamata namba moja Tanzania!

Wakati madokta na maprofesa wa vyuo vingine wakitumia muda mwingi kuunga juhudi na kupiga siasa, hali ni tofauti kwa SUA!

Mimi kama Mtanzania mzalendo nachukua nafasi hii kukipongeza chuo kikuu cha kilimo Sokoine kwa hatua hii!!

Webometrics Ranking: Sokoine University of Agriculture ranked first place in citations

TRANSPARENT RANKING: Top Universities by Citations in Top Google Scholar profiles | Ranking Web of Universities: Webometrics ranks 30000 institutions


View attachment 1709313
Ebu pitia na hapa kiongozi...
 

Attachments

  • Screenshot_20210223-181940.png
    Screenshot_20210223-181940.png
    75 KB · Views: 5
  • Screenshot_20210223-182049.png
    Screenshot_20210223-182049.png
    75.4 KB · Views: 5
SUA wanajitahidi sana, shida ni kwamba serikali yetu haijaamua kujiweka miguu yote kwenye suala zima la kuunga mkono tafiti kubwa za kisayansi. Wanafanya mambo kisiasa sana na kuna urasimu mkubwa na wa kushanganza kwenye utekelezaji wa miradi mikubwa ya kisayansi.
 
Back
Top Bottom