Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,473
- 19,268
kichwa cha habari chajieleza.
Chuo Kikuu Mzume Faculty of Law, wameweka website, mle ndani wameweka list ya unreported cases ambazo hata hawajadigest (kama mendez anavyofanya).
Huwezi amini, wemerestrict case ambazo Mahakama inazitoa bure na hata kwenye magroup ya whatsapps tunashare bure bila malipo, wao wanataka watu wa mzumbe tu wenye password kwenye website yao ndio wadownload.
Nimejiuliza, kwani hizo caselaws zinauzwa, mnazinunua huko tanzlii na kwingine hata muwanyime wengine? Kusambaza uelewa wa sheria kwa wenzenu kwanini msiweke wazi watu wakadownload bure?
Mnapata hasara gani kama tukidownload bure kesi ambazo ninyi mmepata bure? ninyi ni chuo cha kusambaza elimu gani kama mnarestrict elimu mliyopata bure kwa watu?
Judiciary wameanza kutoa hivyo vitu bure tuwapongeze, lakini watu fulani wenye chuo chenye inferiority complex wanachukua judiciary halafu wanaminya wengine wasiaccess, si ujinga huu? mjitafakari!
Chuo Kikuu Mzume Faculty of Law, wameweka website, mle ndani wameweka list ya unreported cases ambazo hata hawajadigest (kama mendez anavyofanya).
Huwezi amini, wemerestrict case ambazo Mahakama inazitoa bure na hata kwenye magroup ya whatsapps tunashare bure bila malipo, wao wanataka watu wa mzumbe tu wenye password kwenye website yao ndio wadownload.
Nimejiuliza, kwani hizo caselaws zinauzwa, mnazinunua huko tanzlii na kwingine hata muwanyime wengine? Kusambaza uelewa wa sheria kwa wenzenu kwanini msiweke wazi watu wakadownload bure?
Mnapata hasara gani kama tukidownload bure kesi ambazo ninyi mmepata bure? ninyi ni chuo cha kusambaza elimu gani kama mnarestrict elimu mliyopata bure kwa watu?
Judiciary wameanza kutoa hivyo vitu bure tuwapongeze, lakini watu fulani wenye chuo chenye inferiority complex wanachukua judiciary halafu wanaminya wengine wasiaccess, si ujinga huu? mjitafakari!