Jaman naomben kujua kuhusu chuo hki cha kilimanjaro international institute je ni kizuri?
MKUU NI FRESH UKAJA UDSM PALE CoICT kuna program nzuri tu kama Telecom engineering, Computer science, computer engineering kuliko, kutafuta vyuo vilivyojificha na visivyojulikana mwenendo wake.
MKUU NI FRESH UKAJA UDSM PALE CoICT kuna program nzuri tu kama Telecom engineering, Computer science, computer engineering kuliko, kutafuta vyuo vilivyojificha na visivyojulikana mwenendo wake.
Jaman naomben kujua kuhusu chuo hki cha kilimanjaro international institute je ni kizuri?
Hii ni sawa na kuambiwa vua shati wewe unakimbilia kuvua kaptura. Jamaa kauliza juu ya KII kipo wapi na kama ni kizuri wewe unaleta CoICT wapi na wapi? Kama huna jibu nyamazaga basi siyo lazima uandike.
K
ujibu swali nimegoogle nikaibuka na hawa wako USA kwa Obama : Kilimanjaro International: President's Message
Pia kuna hawa wako Arusha: KIITEC
Hivyo tandaa ujionee mzee