Chuo cha "Aviation" Air Tanzania

Status
Not open for further replies.
Habari zenu wakuu!
Naomba msaada wenu juu ya hili. Nataka kusomea Cabin Crew Training, chuo cha Anga cha Air Tanzania... Nina vigezo vyote na haswa Lugha ispokua sina kigezo kimoja tu.. sina cheti cha form 4. Je, hili linaweza kukwamisha kutimiza ndoto zangu? Au wanaweza wakanikubali na kunipa nafasi wakiona juhudi zangu? Naombeni ushauri wenu. Ahsanteni.
Kama Age haijapanda.
kwa nini.usisome QT?
baada ya mwaka 1 unaenda zako N.I.T

Ajira za bongo zina Tegemea Sana Cheti Cha 4m 4

Tafuta D zako 4
 
Jaribu ku google huwa zinatokea nafasi za Emirates cabin crew. Au ingia youtube ukitaka kuwa cabin crew sheria zao zikoje? Hizo naongelea ndege za Qatar au Emirates ( wanalipwa vizuri na unasafiri all over the world) Nafikiri muhimu lugha na umri na ujue kujielezea na kujiamini kwa sana. Kuna sehemu ya ku apply ukifanikiwa wanakufanyia wenyewe training

Asante Kaka 👏
 
Kwa kuwa una malengo na nia unayo usikatishwe tamaa mapema na watu hasa huku jf. Pia ile kazi kama ukiwa na vigezo ambavyo wanataka utapata.
Kwa hiyo ushauri wangu jaribu kusoma QT then upate cheti cha 4m 4 alafu uende NIT kwa sababu ile koz haichukui muda mrefu sana..So miaka mi3 itakutosha kabisa kukamilisha ndoto zako...
Pambania ndoto zako kupitia wewe watajifunza hawa wanaokukatisha tamaa hapa siku unaleta mrejesho hapa..ALL THE BEST
 
Kwenye maisha, kuna ambao watakukatisha tamaa na kuna ambao watakukejeli, kamwe usije ukakatishwa tamaa kwani kukata tamaa ni kosa kwa wapambanaji.

All the best.....
 
Samahani Sihitaji kuolewa kwa sshv, na kama nikihitaji kuolewa basi sitotafuta mume hapa mtandaoni. Na kigezo cha Uzuri Mungu kanijaalia pia ndomana nikasema vigezo vyote ninavo isipokua hiko kimoja tu, ninachotaka ni msaada wenu na mawazo yenu sio kunisanif Kaka please usihukumu usiemjua, hujui Maisha yangu wala matatizo yangu, Kazi ni muhimu zaidi kwangu ndoa baadae ikifika muda aloniandikia Mungu.
usisumbuke naye, si unaona jina la ukoo wake ni destoyer=mhalifu. uwe unajiongeza
id za humu hazikutolewa kwa bahati mbaya
 
Yy kasema anilipe mshahara kwa kuolewa hajasema mshahara kwa ajira, mm thread yangu inahusu kazi sio ndoa. Ndoa sio solution, what if aniowe then tuje kuachana si tatizo langu litabaki palepale. Nataka niwe na kipato changu mm mwenyewe. Hela ya Mwanaume ni Bonus tu.
Kwa kuwa una malengo na nia unayo usikatishwe tamaa mapema na watu hasa huku jf. Pia ile kazi kama ukiwa na vigezo ambavyo wanataka utapata.
Kwa hiyo ushauri wangu jaribu kusoma QT then upate cheti cha 4m 4 alafu uende NIT kwa sababu ile koz haichukui muda mrefu sana..So miaka mi3 itakutosha kabisa kukamilisha ndoto zako...
Pambania ndoto zako kupitia wewe watajifunza hawa wanaokukatisha tamaa hapa siku unaleta mrejesho hapa..ALL THE BEST
Inatakiwa awahi 😂😂uzuri huwa unachuja ujue
 
Kwa kuwa una malengo na nia unayo usikatishwe tamaa mapema na watu hasa huku jf. Pia ile kazi kama ukiwa na vigezo ambavyo wanataka utapata.
Kwa hiyo ushauri wangu jaribu kusoma QT then upate cheti cha 4m 4 alafu uende NIT kwa sababu ile koz haichukui muda mrefu sana..So miaka mi3 itakutosha kabisa kukamilisha ndoto zako...
Pambania ndoto zako kupitia wewe watajifunza hawa wanaokukatisha tamaa hapa siku unaleta mrejesho hapa..ALL THE BEST

Asante sn kwa ushauri wako, naomba km una details zozote khs Usajili wa QT unijulishe nimejaribu ku google sijapata details kamili
 
Kwa sasa vituo vya QT ni vingi sana hasa kama upo Dar unaweza ukatafuta shule nzuri tuu ukaomba taratibu za kujiandikisha then usome miaka miwili ufanye mtihan wa kidato cha nne..
Na kwa kuwa una nia natumain utafaulu vyema tuu

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom