Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 2,921
- 5,960
Huo mshahara uliosema unaweza kunilipa km inawezekana naomba unisaidie ajira km una biashara yako nikufanyie kazi niipate kwa njia halali na Mungu atakulipa. Asante.
usijali... fuatilia malengo yako.....kama ikishindikana na ukaona kuna uhitaji wa kuniomba ushauri au msaada usisite kunitafuta...ila kwanza fuatilia ulichokipanga...na unachokiona ni cha sawa na sahihi zaidi kwako...
asante..