Soma CBE mdogo wangu kasoma hapo tawi la mwanza saizi anafanya kazi ya kujiajili ya kilimo yupo safi Kwa kweliKuomba Kusoma IFM au CBE masomo ya biashara ngazi ya cheti wapi bora?eg CBE Dodoma au IFM dar au mikoani
Asante kwa ushauri..Hivi CBE mwanza ndo wako mtaa wa makoroboi?Soma CBE mdogo wangu kasoma hapo tawi la mwanza saizi anafanya kazi ya kujiajili ya kilimo yupo safi Kwa kweli
Apana wamehama apo!! Now wapo nje ya mji uko nimepasahau jina tuuAsante kwa ushauri..Hivi CBE mwanza ndo wako mtaa wa makoroboi?
Kwa urahis ukifka national unakata kushoto unaingia njia ya vumbi kama mita 300 iv au uingilie mecco kuna kibao kipo paleAsante kwa ushauri..Hivi CBE mwanza ndo wako mtaa wa makoroboi?