Chunya: Walimu wanne wanaswa wakibaka wanafunzi Ofisini

Nebuchadinezzer

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,403
2,545
Hii Jabari nimeiona leokupitia habari saa 2 ITV

Wamekutwa kwenye nyumba ya mkuu wa shule.

MY TAKE: Hili tatizo limekuwepo miaka nenda rudi...anakosekana mpigafilimbi kwa sababu jamii yetu imeoza.

Suala la kujamiana hovyohovyo imekuwa ndio sifa ya watanzania.

Unakuta baba mwenye watoto wakubwa anafanya uzinzi na watoto rika la wanae.

Mama anatembea na vijana wadogo

Wachungaji na mashehe wanakula waumini wao.

Jamii imeoza sana.

Nadhani tunahitaji kuchukua hatua zaidi ni bora serikali ionekane ni ya kikatili ila sio kuruhusu ufigisu kama huu.

Mama Samia kuwa mkali mama kutetea maadili Mungu atakulipa sio wachache waliopotoka ktk maadili.
 
Hii Jabari nimeiona leokupitia habari saa 2 ITV

Wamekutwa kwenye nyumba ya mkuu wa shule.

MY TAKE: Hili tatizo limekuwepo miaka nenda rudi...anakosekana mpigafilimbi kwa sababu jamii yetu imeoza.

Suala la kujamiana hovyohovyo imekuwa ndio sifa ya watanzania.

Unakuta baba mwenye watoto wakubwa anafanya uzinzi na watoto rika la wanae.

Mama anatembea na vijana wadogo

Wachungaji na mashehe wanakula waumini wao.

Jamii imeoza sana.

Nadhani tunahitaji kuchukua hatua zaidi ni bora serikali ionekane ni ya kikatili ila sio kuruhusu ufigisu kama huu.

Mama Samia kuwa mkali mama kutetea maadili Mungu atakulipa sio wachache waliopotoka ktk maadili.
Kiingilio kirudishwe,
Kusoma kitabu sio lazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii Jabari nimeiona leokupitia habari saa 2 ITV

Wamekutwa kwenye nyumba ya mkuu wa shule.

MY TAKE: Hili tatizo limekuwepo miaka nenda rudi...anakosekana mpigafilimbi kwa sababu jamii yetu imeoza.

Suala la kujamiana hovyohovyo imekuwa ndio sifa ya watanzania.

Unakuta baba mwenye watoto wakubwa anafanya uzinzi na watoto rika la wanae.

Mama anatembea na vijana wadogo

Wachungaji na mashehe wanakula waumini wao.

Jamii imeoza sana.

Nadhani tunahitaji kuchukua hatua zaidi ni bora serikali ionekane ni ya kikatili ila sio kuruhusu ufigisu kama huu.

Mama Samia kuwa mkali mama kutetea maadili Mungu atakulipa sio wachache waliopotoka ktk maadili.
tangu vijana wengi wawe walimu full kujimegea
 
Hii Jabari nimeiona leokupitia habari saa 2 ITV

Wamekutwa kwenye nyumba ya mkuu wa shule.

MY TAKE: Hili tatizo limekuwepo miaka nenda rudi...anakosekana mpigafilimbi kwa sababu jamii yetu imeoza.

Suala la kujamiana hovyohovyo imekuwa ndio sifa ya watanzania.

Unakuta baba mwenye watoto wakubwa anafanya uzinzi na watoto rika la wanae.

Mama anatembea na vijana wadogo

Wachungaji na mashehe wanakula waumini wao.

Jamii imeoza sana.

Nadhani tunahitaji kuchukua hatua zaidi ni bora serikali ionekane ni ya kikatili ila sio kuruhusu ufigisu kama huu.

Mama Samia kuwa mkali mama kutetea maadili Mungu atakulipa sio wachache waliopotoka ktk maadili.
Michezo hiyo ipo sana miaka ya sa ivi. Sio huko karibu nchi nzima
 
Hii Jabari nimeiona leokupitia habari saa 2 ITV

Wamekutwa kwenye nyumba ya mkuu wa shule.

MY TAKE: Hili tatizo limekuwepo miaka nenda rudi...anakosekana mpigafilimbi kwa sababu jamii yetu imeoza.

Suala la kujamiana hovyohovyo imekuwa ndio sifa ya watanzania.

Unakuta baba mwenye watoto wakubwa anafanya uzinzi na watoto rika la wanae.

Mama anatembea na vijana wadogo

Wachungaji na mashehe wanakula waumini wao.

Jamii imeoza sana.

Nadhani tunahitaji kuchukua hatua zaidi ni bora serikali ionekane ni ya kikatili ila sio kuruhusu ufigisu kama huu.

Mama Samia kuwa mkali mama kutetea maadili Mungu atakulipa sio wachache waliopotoka ktk maadili.
  • Waganga wanakula wagonjwa
  • Polisi wanakula mahabusu
  • Magereza wanakula wafungwa
  • Maboss wanakula masekretari
  • Madereva wanakula abiria
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom