Chunusi zinasumbua sana msaada wenu wakuu

Piga maji kwa wingi (zingatia uzito wako) na angalia unachotumia kwenye ngozi, huenda una react na kitu!

Kama haupo katika miaka ya kubalehe lakini, maana hili halikwepeki!
 
Yes kwa kiasi flan nimepata mwanga

IMG_0286.jpg

Tafuta hii pia
 
Hiyo sabun ndo nimenunu leo ikianza kuleta matokea nitakwambia
Shukulan sana
Nenda kwny maduka ya vipodozi nunua sabuni inaitwa pyary imetengenezwa kwa tangawizi Bei ni Kati ya 1500-2000 asubuhi chukia kitambaa kisafi paka sabuni jisugue kwa Hilo povu lake baada ya hapo nawa chukua povu lingine jipake usoni kaa nalo muda kidogo hata dk.mbili sio mbaya nawa halafu ukishamaliza kuoga usoni paka Hilo Hilo povu la hiyo sabuni usipake kitu kingine au mafuta yoyote fanya hivyo kutwa Mara tatu km utakuwa na muda ukishindwa sn hata Mara mbili utaona mabadiliko ndani ya siku chache.
 
Sawa ndugu kikubwa pia Imani ila wengi imewasaidia hata mm ilinisaidia na mpaka leo naitumia miaka kumi sasa
Blessed maana wanang wanasema hupig mgegedo na manzi wapo tele every i got free they come to my gheto 🤣🤣
 
Nikikutajia dawa ambayo ukitumia utasahau chunus utanipa zawad gan.

Pia acha kula mayai na mavyakila yenye mafuta.

Hyo dawa unakunywa kama supliments..

100% inaondoa hvo vtu.sabab chunus haitibiw kwa nje bali kwa ndan..wanaokwambia dawa za kupaka sjui nin..utapoteza mda tu
 
Kama ni Men Tafuta Dem Gonga Punguza Protein Hzo kama domo mamba piga hata nyeto twice a week (in a safe way)

Kama ni dem 21+ of age tafuta jamaa akudandie atleast twice a month (in a safe way)

U’ll Be Ait
 
Nikikutajia dawa ambayo ukitumia utasahau chunus utanipa zawad gan.

Pia acha kula mayai na mavyakila yenye mafuta.

Hyo dawa unakunywa kama supliments..

100% inaondoa hvo vtu.sabab chunus haitibiw kwa nje bali kwa ndan..wanaokwambia dawa za kupaka sjui nin..utapoteza mda tu
Inaitwaje mzee
 
Taja kwa faida ya watu hapa jukwaani

Nikikutajia dawa ambayo ukitumia utasahau chunus utanipa zawad gan.

Pia acha kula mayai na mavyakila yenye mafuta.

Hyo dawa unakunywa kama supliments..

100% inaondoa hvo vtu.sabab chunus haitibiw kwa nje bali kwa ndan..wanaokwambia dawa za kupaka sjui nin..utapoteza mda tu
 
Nikikutajia dawa ambayo ukitumia utasahau chunus utanipa zawad gan.

Pia acha kula mayai na mavyakila yenye mafuta.

Hyo dawa unakunywa kama supliments..

100% inaondoa hvo vtu.sabab chunus haitibiw kwa nje bali kwa ndan..wanaokwambia dawa za kupaka sjui nin..utapoteza mda tu

mkuu hebu tutajie kitu, pia kama inaongeza na nguvu za kiume ni nzuri zaidi
 
Nikikutajia dawa ambayo ukitumia utasahau chunus utanipa zawad gan.

Pia acha kula mayai na mavyakila yenye mafuta.

Hyo dawa unakunywa kama supliments..

100% inaondoa hvo vtu.sabab chunus haitibiw kwa nje bali kwa ndan..wanaokwambia dawa za kupaka sjui nin..utapoteza mda tu
Kabisa...sio accutane kweli hiyo
 
Back
Top Bottom