Yes kwa kiasi flan nimepata mwangaNatumae mleta mada umepata muongozo.
View attachment 1787578
Tafuta hii pia
Pw pw Hiyo hospital inaitwa tmjHali ukiwa mbaya nenda tmj temeke pale kuna doctor fresh sana
Shukulan sana
Nenda kwny maduka ya vipodozi nunua sabuni inaitwa pyary imetengenezwa kwa tangawizi Bei ni Kati ya 1500-2000 asubuhi chukia kitambaa kisafi paka sabuni jisugue kwa Hilo povu lake baada ya hapo nawa chukua povu lingine jipake usoni kaa nalo muda kidogo hata dk.mbili sio mbaya nawa halafu ukishamaliza kuoga usoni paka Hilo Hilo povu la hiyo sabuni usipake kitu kingine au mafuta yoyote fanya hivyo kutwa Mara tatu km utakuwa na muda ukishindwa sn hata Mara mbili utaona mabadiliko ndani ya siku chache.
Sawa ndugu kikubwa pia Imani ila wengi imewasaidia hata mm ilinisaidia na mpaka leo naitumia miaka kumi sasaHiyo sabun ndo nimenunu leo ikianza kuleta matokea nitakwambia
Blessed maana wanang wanasema hupig mgegedo na manzi wapo tele every i got free they come to my gheto 🤣🤣Sawa ndugu kikubwa pia Imani ila wengi imewasaidia hata mm ilinisaidia na mpaka leo naitumia miaka kumi sasa
Inaitwaje mzeeNikikutajia dawa ambayo ukitumia utasahau chunus utanipa zawad gan.
Pia acha kula mayai na mavyakila yenye mafuta.
Hyo dawa unakunywa kama supliments..
100% inaondoa hvo vtu.sabab chunus haitibiw kwa nje bali kwa ndan..wanaokwambia dawa za kupaka sjui nin..utapoteza mda tu
Mkuu mbona madem ninao wakutoshhaKama ni Men Tafuta Dem Gonga Punguza Protein Hzo kama domo mamba piga hata nyeto twice a week (in a safe way)
Kama ni dem 21+ of age tafuta jamaa akudandie atleast twice a month (in a safe way)
U’ll Be Ait
Nikikutajia dawa ambayo ukitumia utasahau chunus utanipa zawad gan.
Pia acha kula mayai na mavyakila yenye mafuta.
Hyo dawa unakunywa kama supliments..
100% inaondoa hvo vtu.sabab chunus haitibiw kwa nje bali kwa ndan..wanaokwambia dawa za kupaka sjui nin..utapoteza mda tu
Jamaa anaringishia dawa yake,, watu wa hivi hata uchinani niliwaona juzi.Taja kwa faida ya watu hapa jukwaani
Nikikutajia dawa ambayo ukitumia utasahau chunus utanipa zawad gan.
Pia acha kula mayai na mavyakila yenye mafuta.
Hyo dawa unakunywa kama supliments..
100% inaondoa hvo vtu.sabab chunus haitibiw kwa nje bali kwa ndan..wanaokwambia dawa za kupaka sjui nin..utapoteza mda tu
Mkuu mbona madem ninao wakutoshha
Kabisa...sio accutane kweli hiyoNikikutajia dawa ambayo ukitumia utasahau chunus utanipa zawad gan.
Pia acha kula mayai na mavyakila yenye mafuta.
Hyo dawa unakunywa kama supliments..
100% inaondoa hvo vtu.sabab chunus haitibiw kwa nje bali kwa ndan..wanaokwambia dawa za kupaka sjui nin..utapoteza mda tu