Richmoto Kushmoto
JF-Expert Member
- Jan 18, 2021
- 549
- 557
Nimetumia dawa za aina nyingi na hizi tube zinapungua kidogo zen zinarudi sasa hivi ndio zimeongezeka msaada wenu hapo wakuu tiba ipi ni nzuri.
Njoo PM nikupe maelekezo then chunusi zitabaki history kwako.Nimetumia dawa za aina nyingi na hizi tube zinapungua kidogo zen zinarudi sahivi ndo zimeongezeka msaada wenu hapo wakuu tiba ipi ni nzuri
Zimesumbua kwa miaka mingapi? Halafu zikoje zikikomaa zinatoa usaa kama ndogo kiasi ila ni nying kama miezi 6 hivi
Njoo pm nikupe maelekezo then chunusi zitabaki history kwako
Sorry mbegu mbichi au kavu?Jaribu hii
Parua mbegu ya parachichi fanya scrub
Nawa maji ya uvuguvugu
Paka serum kisha moisturizer ya chaguo lako uangalie ndani ya siku tano tu
Sorry mbegu mbichi au kavu?
Ok apo kwenye kuikwangua kifaa gan kinafaa kukwangulia ili itoke vzr?Nadhani ni mbichi
Unapokata tu parachchi na kulila
Ile mbegu inafaa
Ok apo kwenye kuikwangua kifaa gan kinafaa kukwangulia ili itoke vzr?
Ok asante iv Kama cna serum naweza paka nn baada ya hyo scrub? na pia loshen ya vaseline ya limao ni nzur kupaka baada ya hio scrub?Kikwaruzio cha carrot
Ok asante iv Kama cna serum naweza paka nn baada ya hyo scrub? na pia loshen ya vaseline ya limao ni nzur kupaka baada ya hio scrub?
Sorry nlikosea n aloeVaseline wana lemon?
Sijui labda wajuzi waje
Ila ni nzuri kwa skin repairing
Shukulan sanaNenda kwny maduka ya vipodozi nunua sabuni inaitwa pyary imetengenezwa kwa tangawizi Bei ni Kati ya 1500-2000 asubuhi chukia kitambaa kisafi paka sabuni jisugue kwa Hilo povu lake baada ya hapo nawa chukua povu lingine jipake usoni kaa nalo muda kidogo hata dk.mbili sio mbaya nawa halafu ukishamaliza kuoga usoni paka Hilo Hilo povu la hiyo sabuni usipake kitu kingine au mafuta yoyote fanya hivyo kutwa Mara tatu km utakuwa na muda ukishindwa sn hata Mara mbili utaona mabadiliko ndani ya siku chache.