Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 11,006
- 22,214
Usipende kutumia vitu vyenye mafuta sana....mf karanga....kama unatumia shower gel iwekee manjano kidg na rose water....shuka na foronya viwe Safi sana kila siku....simu yako uwe unaifuta vzuri kbla ujaiweka sikioni..... usipende kujishika shika uso kila mara kwa mara.....kabla ya kulala make sure uso ni msafiNimetumia dawa za aina nyingi na hizi tube zinapungua kidogo zen zinarudi sasa hivi ndio zimeongezeka msaada wenu hapo wakuu tiba ipi ni nzuri.