prospa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 554
- 156
Hii ni serious kidogo, kama huna mchango ni vyema ukapita sio laziama useme , sasa back to topic nina mke ambaye nina miaka naye kadhaa na sijawahi kutoka nje ya ndoa pia yeye naamini vivyo hivyo huwa tunaridhishana na kufurahishana kwa njia mbalimbali ikiwamo kuzama chumvini na kulamba koni, sasa kama wiki imepita nilizama chumvin na nahisi nimepata fangasi za mdomo baada ya kugundua tofauti ya kinywa nikipiga mswaki pia nikila chakula hata mwenzangu ana hali kama yangu , naomba msaada tafadhari dawa gani inaweza kunisaidia kutibu haya maradhi.
Nawasilisha.
Nawasilisha.