Chumvi ya SEA SALT Hatari kwa Afya- Meneja wa Kiwanda Akamatwa

fikirikwanza

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
7,452
3,065
Chumvi aina ya Sea Salt inayotengenezwa Ubungo na Bagamoyo haifai kwa matumizi ya binadamu, imegundulika haina viwango na pia iodine hakuna. Mtambo wa kuwekea iodine imebainika umeharibika tangu mwaka 2001.

ina madhara kwenye mfumo wa uzazi hasa kwa wanaume.

Kutokana na ukweli kuwa kiwanda cha bagamoyo kinazalisha chumvi nzuri na kuiuza nje ya nchi, kile cha ubungo ndicho kinachotoa chumvi mbaya kwa ajili ya soko la ndani.

Meneja wa kiwanda hicho yuko ndani pale polisi Urafiki-Ubungo.

Kwa wanahabari fatilieni suala hilo ili kuwapatia wananchi wa TZ ambao ndo waaathirika wakubwa taarifa kupitia magezeti, redio na TV pia.

Iwapo unayo chumvi aina ya SEA SALT nyumbani, tupa ni hatari kwa afya ya familia yako.

Nawasilisha.
 
Mimi natumia ya Uvinza pekee... Maandalizi muhimu huyafanya mwenyewe sitaki shombo!!!
 
Afya ni afya tu, mzaha na ugomvi wa kibiashara ni jambo lingine, sasa mtambo wa iodine kufa nao ni ugomvi au hali halisi since 2001
 
Chumvi aina ya Sea Salt inayotengenezwa Ubungo na Bagamoyo haifai kwa matumizi ya binadamu, imegundulika haina viwango na pia iodine hakuna. Mtambo wa kuwekea iodine imebainika umeharibika tangu mwaka 2001.

ina madhara kwenye mfumo wa uzazi hasa kwa wanaume.

Kutokana na ukweli kuwa kiwanda cha bagamoyo kinazalisha chumvi nzuri na kuiuza nje ya nchi, kile cha ubungo ndicho kinachotoa chumvi mbaya kwa ajili ya soko la ndani.

Meneja wa kiwanda hicho yuko ndani pale polisi Urafiki-Ubungo.

Kwa wanahabari fatilieni suala hilo ili kuwapatia wananchi wa TZ ambao ndo waaathirika wakubwa taarifa kupitia magezeti, redio na TV pia.

Iwapo unayo chumvi aina ya SEA SALT nyumbani, tupa ni hatari kwa afya ya familia yako.

Nawasilisha.

Hapa tumlaumu nani? Wananchi wenyewe hawana elimu ya kutosha ukichangia na umasikini kila mmoja wapo anatafuta zaidi unafuu afya baadaye. Na ni kwa mambo mengi yanayotuzunguka hatuna ulinzi nayo.
 
Hapa tumlaumu nani? Wananchi wenyewe hawana elimu ya kutosha ukichangia na umasikini kila mmoja wapo anatafuta zaidi unafuu afya baadaye. Na ni kwa mambo mengi yanayotuzunguka hatuna ulinzi nayo.

Serikali ndo ya kulaumiwa kwa 100%. si wanachukua kodi zetu ili watulinde na mambo ambayo mtu mmoja mmoja huwezi kuyashughulikia?
 
Wiki iliyopita nilienda Dukani kununua chumvi, muuzaji akanitajia Kuwa chumvi ya kiwanda Fulani sh.300 na kingine tsh.400. Nikamuuliza kwanini bei ni tofauti akasema hii ya tsh.300 haina madini joto. Nilishangaa inakuwaje chumvi za aina hii zinaingia sokoni!!!!
 
Nawasihi sana ndugu zangu msitumie chumvi inayoitwa SEA SALT Tena ya hatari, baada ya laboratory test imeonekana imechanganywa na mchanga na ina madhara sana, meneja wake tumemuweka mahabusu pale urafiki na anatarajiwa kufikishwa mahakamani soon, ina madhara pia katika mfumo wa uzazi hasa kwetu sisi wana tezi dume.

Kama ipo nyumbani pleaaaase iondoe ni hatari jamani,itatuongezea wanaume wasioeleweka. Na chumvi hii haina hata iodine, tumekamata iodine test kit yake imesha expire toka 2001, Kiwanda chake kipo bagamoyo, huko wanatengeneza chumvi yenye ubora na viwango kwa lengo la kuuza nchi kama kenye, burundi, rwanda n.k,

alafu pale ubungo maziwa wana godown kubwa sana linalohusika na kutwanga chumvi locally, na package locally
Chumvi hii ndiyo inayouzwa nchini, ile bora wanauza nje, na inatengenezwa katika mazingira machafu sana.

Source:rafik yangu ndo waliomkamata.
 
Nawasihi sana ndugu zangu msitumie chumvi inayoitwa SEA SALT Tena ya hatari, baada ya laboratory test imeonekana imechanganywa na mchanga na ina madhara sana, meneja wake tumemuweka mahabusu pale urafiki na anatarajiwa kufikishwa mahakamani soon, ina madhara pia katika mfumo wa uzazi hasa kwetu sisi wana tezi dume.

Kama ipo nyumbani pleaaaase iondoe ni hatari jamani,itatuongezea wanaume wasioeleweka. Na chumvi hii haina hata iodine, tumekamata iodine test kit yake imesha expire toka 2001, Kiwanda chake kipo bagamoyo, huko wanatengeneza chumvi yenye ubora na viwango kwa lengo la kuuza nchi kama kenye, burundi, rwanda n.k,

alafu pale ubungo maziwa wana godown kubwa sana linalohusika na kutwanga chumvi locally, na package locally
Chumvi hii ndiyo inayouzwa nchini, ile bora wanauza nje, na inatengenezwa katika mazingira machafu sana.

Source:rafik yangu ndo waliomkamata.
asante kwa taarifa
 
Nawasihi sana ndugu zangu msitumie chumvi inayoitwa SEA SALT Tena ya hatari, baada ya laboratory test imeonekana imechanganywa na mchanga na ina madhara sana, meneja wake tumemuweka mahabusu pale urafiki na anatarajiwa kufikishwa mahakamani soon, ina madhara pia katika mfumo wa uzazi hasa kwetu sisi wana tezi dume.

Kama ipo nyumbani pleaaaase iondoe ni hatari jamani,itatuongezea wanaume wasioeleweka. Na chumvi hii haina hata iodine, tumekamata iodine test kit yake imesha expire toka 2001, Kiwanda chake kipo bagamoyo, huko wanatengeneza chumvi yenye ubora na viwango kwa lengo la kuuza nchi kama kenye, burundi, rwanda n.k,

alafu pale ubungo maziwa wana godown kubwa sana linalohusika na kutwanga chumvi locally, na package locally
Chumvi hii ndiyo inayouzwa nchini, ile bora wanauza nje, na inatengenezwa katika mazingira machafu sana.

Source:rafik yangu ndo waliomkamata.

Meneja anatengeneza chumvi siyo?
 
Niliambiwa jana na mama watoto kuhusu hili swala. Nilichokifanya nikapiga simu TFDA-mamlaka ya chakula na dawa. Nikapata fursa ya kumuuliza one of the Directors kama kuna ukweli kuhusu hili swala. Nikaambiwa kwamba ni uongo. Hiyo chumvi iko salama kwa matumizi ya binadamu.

Ushauri: Wananchi wenzangu tupende kufanya utafiti kabla ya kulaumu serikali na watendaji wake. Kuna mambo hayahitaji kuingiza siasa. Wengi humu tunauelewa na tuna simu..tupende kufanya utafiti kwa wahusika. Itatusaidia.

Asanteni.
 
TBS wanasemaje kuhusu hili? Vitalu vya chumvi hapo Dar pia vinasikitisha. Archaic at best.
 
Nilitumiwa whatsaap hiyo msg, ila mi nafikiri ni ugomvi wa kibiashara zaidi unless serikali ingeshatoa tamko au kuipiga ban hiyo chumvi
 
Naipenda JF kwa 7bu ipo ahead of time, mi nawaambieni kama hii hbr ni ya kweli, basi kuanzia kesho au kesho kutwa ndo tutaikuta magazetini!
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom