tz2015
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 982
- 444
Kama unamjua Mungu wa kweliTumekula vyingi haramu...!namuachia mungu afya yangu lol
miungu mingine ni nyonya damu tu
haina tofauti na hiyo chumvi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unamjua Mungu wa kweliTumekula vyingi haramu...!namuachia mungu afya yangu lol
Mkuu majibu yao uliyaamini kwa vigezo gani isije ikawa umejibiwa kisiasa.Niliambiwa jana na mama watoto kuhusu hili swala. Nilichokifanya nikapiga simu TFDA-mamlaka ya chakula na dawa. Nikapata fursa ya kumuuliza one of the Directors kama kuna ukweli kuhusu hili swala. Nikaambiwa kwamba ni uongo. Hiyo chumvi iko salama kwa matumizi ya binadamu.
Ushauri: Wananchi wenzangu tupende kufanya utafiti kabla ya kulaumu serikali na watendaji wake. Kuna mambo hayahitaji kuingiza siasa. Wengi humu tunauelewa na tuna simu..tupende kufanya utafiti kwa wahusika. Itatusaidia.
Asanteni.
Mkuu majibu yao uliyaamini kwa vigezo gani isije ikawa umejibiwa kisiasa.