wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
Nyumba boss. 2 br houseHivi Ni chumba au nyumba hii
Nyumba boss. 2 br houseHivi Ni chumba au nyumba hii
Hio ni 2-bedroom house. Basic finishing utatumia kama 20m. Ukiweka mbwembwe standard fulani hutaamini hela utakayotumia.Asante kwa kunitia moyo
Duuh ok okHio ni 2-bedroom house. Basic finishing utatumia kama 20m. Ukiweka mbwembwe standard fulani hutaamini hela utakayotumia.
Yes tofauti ndogo sanaDuuh ok ok
But ulisema hakuna utofauti kati ya 2 bedroom na 3...so panakuwa hamna utofauti kiviile kwenye hiyo 20m eti?
Thanx much...ngoja tuendelee kujipindaYes tofauti ndogo sana
Jilipue tu tenga 3m kajenge msingi. Ukiuona msingi utapata mzuka wa kuendelea,the rest will be historyThanx much...ngoja tuendelee kujipinda
Yah watu wanamna hii dawa yao unalala sebuleni mpka uchokeItoshe kusema, tutalala hata kwenye makochi au pembeni ya t.v pale.
Ila kupanga chumba kimoja kisicho kuwa na umeme hamtakuja. Ishara ya umasikini kifikra na mawazo, nenda kajenge yako ujaze mijitu ndani uone raha ya ujenzi.Yah watu wanamna hii dawa yao unalala sebuleni mpka uchoke
Punguza jazba usichukulie kila kitu serious utajiumizaIla kupanga chumba kimoja kisicho kuwa na umeme hamtakuja. Ishara ya umasikini kifikra na mawazo, nenda kajenge yako ujaze mijitu ndani uone raha ya ujenzi.