Chumba chenye hewa na ubadiri huongeza nguvu za kiume.

nyabhera

JF-Expert Member
Nov 25, 2011
660
729
Iko hivi kwa miaka miwili nimeishi kwenye nyumba ya kupanga. Katika nyumba hiyo chumba cha master kilikua na dirisha moja na ndirisha hilo lilikua direction isiyokuwa na upepo, dirisha lilikua limekingwa na ukuta wa fance.

Katika nyumba hiyo nilianza kujishitukia mbona sipigi mambo kama zamani. Yaani nikijikakamua sana naishia vibao viwili tena vya ovyo ovyo. Mawazo yakanijaa kisirisiri nikaanza kutafuna mizizi ya ile wayouza wamasai lakini wapi nguvu zunashuka tu.

Mungu akabaliki nikamaliza kujenga nyumba yangu. Nyumba hiyo iko nje ya mjini na kunaupepo na kaubaridi kidogo.

Nilipoanza kuishi huku full hewa na kaubarudi nikaona mabadiriko. Kwanza kila nikishituka usingizini nakuta dudu imesimama na kukaza kama enzi zangu. Alfajiri huwezi kwenda kazi bila kushitua.

Sasa sikujua kwa nn imekua hivi sasa baada ya miezi miwili hali ikiendelea, nikamsimulia mshikaji wangu mmoja. Jamaa akacheka sana akaniambia hata yeye alikutwa na madiriko hayo alipohamia maeneo haya.

Baada ya jamma kuniambia hiyo nikaanza kuuliza uliza majamaa mbalimbali wote wamedhibitisha hivyo.

Sasa waume munaojishitukia uchovu mara kwa mara na kupoteza hamu ya uloda chunguzeni vyumba vyenu vya kulala hata sebule piA.

More air ni dauwa.
 
Dahaa Haisee mkuu unasema kweli Mimi mwenyewe nipo kikazi maeneo Fulani ila kuna joto sana haisee ,sasa nikipiga machine nachoka sana,nimejaribu wee kufanya mazoezi wapi mkuu!! Sasa mwez wa 6 nilikua likizo home ,home ni iringa huwezi amini yaani huku napiga ata bao Tisa Haisee ,sasa ndo nikajua kumbe joto ni adui mkubwa sana,sasa baada ya kurudi likizo huku nimeamua kununua feni ili nipate ubaridi, Sasa sipati picha na wanaume wa dar Haisee kwa hili joto
 
Dahaa Haisee mkuu unasema kweli Mimi mwenyewe nipo kikazi maeneo Fulani ila kuna joto sana haisee ,sasa nikipiga machine nachoka sana,nimejaribu wee kufanya mazoezi wapi mkuu!! Sasa mwez wa 6 nilikua likizo home ,home ni iringa huwezi amini yaani huku napiga ata bao Tisa Haisee ,sasa ndo nikajua kumbe joto ni adui mkubwa sana,sasa baada ya kurudi likizo huku nimeamua kununua feni ili nipate ubaridi, Sasa sipati picha na wanaume wa dar Haisee kwa hili joto
Haisee..!?

Visije vikawa vya jogoo lakini....
 
aiseeee japo sijafanya utafiti hii kitu inaweza kuwa kweli.

binafsi nilikua naishi Arusha uwezo wangu wa kugegeda ulikua wa hali ya juuu saaana. yaani nikianza kugegeda kama bibie hayuko tayari lazima akimbie na Pichu ameshikilia mkononi.
lahaulaaaa nimehamia Dar es salaam saivi nikijitahidi saaaaana viwili tena kwa taaabu sana. kweli wanaume wa Dar ndiomaana wanaitwa wanaitwa wanaume wa dar.
 
Iko hivi kwa miaka miwili nimeishi kwenye nyumba ya kupanga. Katika nyumba hiyo chumba cha master kilikua na dirisha moja na ndirisha hilo lilikua direction isiyokuwa na upepo, dirisha lilikua limekingwa na ukuta wa fance.

Katika nyumba hiyo nilianza kujishitukia mbona sipigi mambo kama zamani. Yaani nikijikakamua sana naishia vibao viwili tena vya ovyo ovyo. Mawazo yakanijaa kisirisiri nikaanza kutafuna mizizi ya ile wayouza wamasai lakini wapi nguvu zunashuka tu.

Mungu akabaliki nikamaliza kujenga nyumba yangu. Nyumba hiyo iko nje ya mjini na kunaupepo na kaubaridi kidogo.

Nilipoanza kuishi huku full hewa na kaubarudi nikaona mabadiriko. Kwanza kila nikishituka usingizini nakuta dudu imesimama na kukaza kama enzi zangu. Alfajiri huwezi kwenda kazi bila kushitua.

Sasa sikujua kwa nn imekua hivi sasa baada ya miezi miwili hali ikiendelea, nikamsimulia mshikaji wangu mmoja. Jamaa akacheka sana akaniambia hata yeye alikutwa na madiriko hayo alipohamia maeneo haya.

Baada ya jamma kuniambia hiyo nikaanza kuuliza uliza majamaa mbalimbali wote wamedhibitisha hivyo.

Sasa waume munaojishitukia uchovu mara kwa mara na kupoteza hamu ya uloda chunguzeni vyumba vyenu vya kulala hata sebule piA.

More air ni dauwa.
Wakati ule ulikuwa na msongo wa mawazo kuhusu kodi ya nyumba,sasa uko pressure free,hata ukisikia mlango unagongwa mtima haulipuki,huna tena zamu ya kusafisha choo,kuoga sio tena kwa foleni,ukitoka huna mawazo ya yule jirani yako chekibobu mpenda wake za watu,ukizingatia mama umemuacha nyumbani.
 
aiseeee japo sijafanya utafiti hii kitu inaweza kuwa kweli.

binafsi nilikua naishi Arusha uwezo wangu wa kugegeda ulikua wa hali ya juuu saaana. yaani nikianza kugegeda kama bibie hayuko tayari lazima akimbie na Pichu ameshikilia mkononi.
lahaulaaaa nimehamia Dar es salaam saivi nikijitahidi saaaaana viwili tena kwa taaabu sana. kweli wanaume wa Dar ndiomaana wanaitwa wanaitwa wanaume wa dar.
Mkuu mimi ni shuhuda wa hili. Watu wajidanganye na midawa mwili mzima kumbe suluhu nypesi
 
Hahaha when you think it couldn't get any better, that's when they surprise you. Can't make this sh!t up.
 
Iko hivi kwa miaka miwili nimeishi kwenye nyumba ya kupanga. Katika nyumba hiyo chumba cha master kilikua na dirisha moja na ndirisha hilo lilikua direction isiyokuwa na upepo, dirisha lilikua limekingwa na ukuta wa fance.

Katika nyumba hiyo nilianza kujishitukia mbona sipigi mambo kama zamani. Yaani nikijikakamua sana naishia vibao viwili tena vya ovyo ovyo. Mawazo yakanijaa kisirisiri nikaanza kutafuna mizizi ya ile wayouza wamasai lakini wapi nguvu zunashuka tu.

Mungu akabaliki nikamaliza kujenga nyumba yangu. Nyumba hiyo iko nje ya mjini na kunaupepo na kaubaridi kidogo.

Nilipoanza kuishi huku full hewa na kaubarudi nikaona mabadiriko. Kwanza kila nikishituka usingizini nakuta dudu imesimama na kukaza kama enzi zangu. Alfajiri huwezi kwenda kazi bila kushitua.

Sasa sikujua kwa nn imekua hivi sasa baada ya miezi miwili hali ikiendelea, nikamsimulia mshikaji wangu mmoja. Jamaa akacheka sana akaniambia hata yeye alikutwa na madiriko hayo alipohamia maeneo haya.

Baada ya jamma kuniambia hiyo nikaanza kuuliza uliza majamaa mbalimbali wote wamedhibitisha hivyo.

Sasa waume munaojishitukia uchovu mara kwa mara na kupoteza hamu ya uloda chunguzeni vyumba vyenu vya kulala hata sebule piA.

More air ni dauwa.


kuna maneno yakiluga hapo hata sijaelewa kama "ubadiri" na nk ?"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom