Chumba cha haraka kinahitajika

Nathd

JF-Expert Member
Nov 29, 2016
290
210
Chumba cha kupanga kinahitajika haraka,kiwe maeneo ya Kigamboni,gharama idizidi elf 50 pia kiwe na choo cha ndani
 
Tandlka kipo kwa gharama hiyo.Umeme na maji ndani.Huduma muhimu kama stendi za daladala(ie devis kona au sokoni tandika) pana mwendo wa kutembea chini ya dakika 10,kadhalika huduma za afya,soko,polisi na shule zote zinapatikana katika eneo hilo.
 
Tandlka kipo kwa gharama hiyo.Umeme na maji ndani.Huduma muhimu kama stendi za daladala(ie devis kona au sokoni tandika) pana mwendo wa kutembea chini ya dakika 10,kadhalika huduma za afya,soko,polisi na shule zote zinapatikana katika eneo hilo.

Huduma za Panya road pia zinapatikana hapo hapo
 
Kwa nini?
kigamboni labda ambapo maeneo siyajui
maana unataka self kwa hela ndogo sana..
ata wanafunzi wa cbe na ifm huku kigamboni wanatoa kuanzia 100-200 p.m kwa chumba self mkuu
 
kigamboni labda ambapo maeneo siyajui
maana unataka self kwa hela ndogo sana..
ata wanafunzi wa cbe na ifm huku kigamboni wanatoa kuanzia 100-200 p.m kwa chumba self mkuu

Hii labda kigamboni ya pale feri
 
Jamani msaidieni mwenzenu. Labda yeye hiyo ndo bajeti yake. Msimzodoe. Nakumbuka nilipotoka mlimani 2004 nilipata room (choo na jiko nje) pale Knyama kwa 30. Ila sasa naamini itakuwa imepanda sana.
 
Ongeza hela kidogo utapata angalau 80 maana kigamboni vyumba ghari sababu ya wanafunzi wengi wanafanya hostel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom