Tandlka kipo kwa gharama hiyo.Umeme na maji ndani.Huduma muhimu kama stendi za daladala(ie devis kona au sokoni tandika) pana mwendo wa kutembea chini ya dakika 10,kadhalika huduma za afya,soko,polisi na shule zote zinapatikana katika eneo hilo.
Maeneo haya ni salama kabisa kuliko hata Masaki.Huduma za Panya road pia zinapatikana hapo hapo
UNA VIASHIRIA VYA KICHAWIhupati
kigamboni labda ambapo maeneo siyajuiKwa nini?
no comment [HASHTAG]#MySignature[/HASHTAG]UNA VIASHIRIA VYA KICHAWI
kigamboni labda ambapo maeneo siyajui
maana unataka self kwa hela ndogo sana..
ata wanafunzi wa cbe na ifm huku kigamboni wanatoa kuanzia 100-200 p.m kwa chumba self mkuu
UbungoRiverside ndo wap?
ALIYE KUDANGANYA CHUMBA NA CHOO UTAPATA KWA 50 MWAMBIE AKUPE CHA KWAKE AKATAFUTE KINGINE.Chumba cha kupanga kinahitajika haraka,kiwe maeneo ya Kigamboni,gharama idizidi elf 50 pia kiwe na choo cha ndani
Choo cha shimoChumba cha kupanga kinahitajika haraka,kiwe maeneo ya Kigamboni,gharama idizidi elf 50 pia kiwe na choo cha ndani