Chukua vijana 1000 wenye akili peleka universities za Western na Urusi

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,532
Ujumbe kwa serikali

Wakasome Technologies na Tiba kisha warudishwe hapa Tanzania watupwe kwenye manufacturing industry na tiba haki ya nani tutapiga hatua haraka sana.

Tufanye hivyo kwa miaka mitatu mfululizo tutapata wataalamu wabobezi hasa hawa wanaofanya vizuri sana darasani...tutatisha sana ukanda huu. Rwanda wana kautaratibu hako.

Kuna wakati tulifanya hivyo japo idadi ni ndogo...tulipeleka watu wetu Urusi enzi za USSR wakati wa mwalimu JKN walirudi na maarifa sana japo sidhani kama tuliwatumia vilivyo.

Japan waliwahi kufanya hivyo walibeba vijana wakawatupa Uholanzi wakarudi kisha wakapewa wajibu wa uvumbuzi....China pia ilifanya hivyo sana huko nyuma....hawa wote wamepiga hatua sana.....Singapore pia Korea Kusini walifanya hivi.

Tukubali kwamba wenzetu wana cha zaidi kwenye technology.....hawa vijana tutakaowapeleka tuhakikishe wakirudi wote wanaingia sokoni mwa ajira kisha kuleta manufaa na wao wataambukiza ujuzi...kwa wengine.

Tunaweza hata kwenda mwezini kama tutawekeza kwa elimu ya applied sciences hasa tukienda Kuiba ujuzi nje kwa wenzetu.

Vijana ni rasilimali tuwatumie positively.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sio kipaumbele cha magufuli, viongozi wa hizi akili zao zinaweza kujinufaisha wao, familia zao na watu wao wa karibu basi
zingine ni porojo ili waendelee kuiba
 
Ujumbe kwa serikali

Wakasome Technologies na Tiba kisha warudishwe hapa Tanzania watupwe kwenye manufacturing industry na tiba haki ya nani tutapiga hatua haraka sana.

Tufanye hivyo kwa miaka mitatu mfululizo tutapata wataalamu wabobezi hasa hawa wanaofanya vizuri sana darasani...tutatisha sana ukanda huu. Rwanda wana kautaratibu hako.

Kuna wakati tulifanya hivyo japo idadi ni ndogo...tulipeleka watu wetu Urusi enzi za USSR wakati wa mwalimu JKN walirudi na maarifa sana japo sidhani kama tuliwatumia vilivyo.

Japan waliwahi kufanya hivyo walibeba vijana wakawatupa Uholanzi wakarudi kisha wakapewa wajibu wa uvumbuzi....China pia ilifanya hivyo sana huko nyuma....hawa wote wamepiga hatua sana.....Singapore pia Korea Kusini walifanya hivi.

Tukubali kwamba wenzetu wana cha zaidi kwenye technology.....hawa vijana tutakaowapeleka tuhakikishe wakirudi wote wanaingia sokoni mwa ajira kisha kuleta manufaa na wao wataambukiza ujuzi...kwa wengine.

Tunaweza hata kwenda mwezini kama tutawekeza kwa elimu ya applied sciences hasa tukienda Kuiba ujuzi nje kwa wenzetu.

Vijana ni rasilimali tuwatumie positively.

Sent using Jamii Forums mobile app
wakitoka uko masomoni wakirudi wote wanakuwa wanasiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujumbe kwa serikali

Wakasome Technologies na Tiba kisha warudishwe hapa Tanzania watupwe kwenye manufacturing industry na tiba haki ya nani tutapiga hatua haraka sana.

Tufanye hivyo kwa miaka mitatu mfululizo tutapata wataalamu wabobezi hasa hawa wanaofanya vizuri sana darasani...tutatisha sana ukanda huu. Rwanda wana kautaratibu hako.

Kuna wakati tulifanya hivyo japo idadi ni ndogo...tulipeleka watu wetu Urusi enzi za USSR wakati wa mwalimu JKN walirudi na maarifa sana japo sidhani kama tuliwatumia vilivyo.

Japan waliwahi kufanya hivyo walibeba vijana wakawatupa Uholanzi wakarudi kisha wakapewa wajibu wa uvumbuzi....China pia ilifanya hivyo sana huko nyuma....hawa wote wamepiga hatua sana.....Singapore pia Korea Kusini walifanya hivi.

Tukubali kwamba wenzetu wana cha zaidi kwenye technology.....hawa vijana tutakaowapeleka tuhakikishe wakirudi wote wanaingia sokoni mwa ajira kisha kuleta manufaa na wao wataambukiza ujuzi...kwa wengine.

Tunaweza hata kwenda mwezini kama tutawekeza kwa elimu ya applied sciences hasa tukienda Kuiba ujuzi nje kwa wenzetu.

Vijana ni rasilimali tuwatumie positively.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakimaliza hawarudi wanakomaa huko huko
 
Wakimaliza hawarudi wanakomaa huko huko
Wako sahihi kabisa, huwez kusoma nje uko kwenye vyuo bora na maisha bora halafu urudi bongo kwa wajinga uku ambako Mwanasiasa ana nguvu kuliko mtaalamu.

Yaan mtu kama Bashite anauwezo wa kumfokea na kumtimua kazi Injinia.?? Seriously..?? Hapana mzee hata kama ningekua mimi nisingerudi kwenye nchi ya majinga hii ambapo vilaza na waliofeli ila wanajua kuongea ndio wanatunga sheria.

Kuna Watz kibao nje ya nchi uko wanaishi fresh na ni wataalamu wa vitu mbalimbali ila wanaona bora wabaki uko wanakojaliwa kuliko kuja kudharaulika na VILAZA uku kwao.

Kikwete alirudisha wataalamu kibao toka nje nchi akiwemo Ndulu kuja kujenga nchi ila kuna kiaz mmoja akaja kusema "haiwezekani mtu alipwe mshahara kuliko mimi" WTF kwa kazi gani hasa unayoifanya.?? Siku tukiacha siasa za kipumbavu ndio tutajua kua hii nchi ina PROFESSIONALS wengi sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujumbe kwa serikali

Wakasome Technologies na Tiba kisha warudishwe hapa Tanzania watupwe kwenye manufacturing industry na tiba haki ya nani tutapiga hatua haraka sana.

Tufanye hivyo kwa miaka mitatu mfululizo tutapata wataalamu wabobezi hasa hawa wanaofanya vizuri sana darasani...tutatisha sana ukanda huu. Rwanda wana kautaratibu hako.

Kuna wakati tulifanya hivyo japo idadi ni ndogo...tulipeleka watu wetu Urusi enzi za USSR wakati wa mwalimu JKN walirudi na maarifa sana japo sidhani kama tuliwatumia vilivyo.

Japan waliwahi kufanya hivyo walibeba vijana wakawatupa Uholanzi wakarudi kisha wakapewa wajibu wa uvumbuzi....China pia ilifanya hivyo sana huko nyuma....hawa wote wamepiga hatua sana.....Singapore pia Korea Kusini walifanya hivi.

Tukubali kwamba wenzetu wana cha zaidi kwenye technology.....hawa vijana tutakaowapeleka tuhakikishe wakirudi wote wanaingia sokoni mwa ajira kisha kuleta manufaa na wao wataambukiza ujuzi...kwa wengine.

Tunaweza hata kwenda mwezini kama tutawekeza kwa elimu ya applied sciences hasa tukienda Kuiba ujuzi nje kwa wenzetu.

Vijana ni rasilimali tuwatumie positively.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ina vijana wengi sana wamesoma huko hasa udaktari.
Ila wakirudi hapa serikali inawatelekeza.

Tena wanalipiwa bure na hayo mataifa.
 
Wako sahihi kabisa, huwez kusoma nje uko kwenye vyuo bora na maisha bora halafu urudi bongo kwa wajinga uku ambako Mwanasiasa ana nguvu kuliko mtaalamu.

Yaan mtu kama Bashite anauwezo wa kumfokea na kumtimua kazi Injinia.?? Seriously..?? Hapana mzee hata kama ningekua mimi nisingerudi kwenye nchi ya majinga hii ambapo vilaza na waliofeli ila wanajua kuongea ndio wanatunga sheria.

Kuna Watz kibao nje ya nchi uko wanaishi fresh na ni wataalamu wa vitu mbalimbali ila wanaona bora wabaki uko wanakojaliwa kuliko kuja kudharaulika na VILAZA uku kwao.

Kikwete alirudisha wataalamu kibao toka nje nchi akiwemo Ndulu kuja kujenga nchi ila kuna kiaz mmoja akaja kusema "haiwezekani mtu alipwe mshahara kuliko mimi" WTF kwa kazi gani hasa unayoifanya.?? Siku tukiacha siasa za kipumbavu ndio tutajua kua hii nchi ina PROFESSIONALS wengi sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli.
Wanarudi.
 
Kuna wasomi wengi wanazagaa mtaani bila kazi, wangeanza na hao kuwapa vitengo. Taifa lingekua mbali
 
Kumbuka walopelekwa USSR na Nyerere ndo walotuharibia viwanda vyetu vyooote, JPM hawezi kufanya kosa hilo tena.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Usiende mbali tuanzie hapa,

Pharmaceuticals science, mtu anasoma miaka 4+ lakini hamna dawa inayo gunduliwa wala kutengenezwa tofaut na ku processing raw materials tu kuwa dawa.

Mazingira sio rafiki kwa wasomi unasoma ukija kitaa unakuwa chinga, hicho unacho ongelea sio kipao mbele kwa saiv tusubilie awamu ya 7
 
"Kuna wakati tulifanya hivyo japo idadi ni ndogo...tulipeleka watu wetu Urusi enzi za USSR wakati wa mwalimu JKN walirudi na maarifa sana japo sidhani kama tuliwatumia vilivyo".

Umenikumbusha kuna mzee mmoja alisoma udaktari wa binadamu urusi na wao ndo walikua watu wa kwanza kusoma nje enzi za Nyerere,japo sijawahi kufanya nae kazi kwa ukaribu sana ila tulifahamiana kwa kuwa alikua msimamizi wa boss wangu yule mzee alikua bright sana kuanzia maisha yake mpaka mawazo sijui serikali waliwatumia vipi maana hata ukikaa nae unaona uwezo wake si wa kawaida...watoto wake wote amewasomesha nje.

Tukubali tukatae wanaosoma ulaya kwa asilimia kubwa elimu yao inakua ina manufaa zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wako sahihi kabisa, huwez kusoma nje uko kwenye vyuo bora na maisha bora halafu urudi bongo kwa wajinga uku ambako Mwanasiasa ana nguvu kuliko mtaalamu.

Yaan mtu kama Bashite anauwezo wa kumfokea na kumtimua kazi Injinia.?? Seriously..?? Hapana mzee hata kama ningekua mimi nisingerudi kwenye nchi ya majinga hii ambapo vilaza na waliofeli ila wanajua kuongea ndio wanatunga sheria.

Kuna Watz kibao nje ya nchi uko wanaishi fresh na ni wataalamu wa vitu mbalimbali ila wanaona bora wabaki uko wanakojaliwa kuliko kuja kudharaulika na VILAZA uku kwao.

Kikwete alirudisha wataalamu kibao toka nje nchi akiwemo Ndulu kuja kujenga nchi ila kuna kiaz mmoja akaja kusema "haiwezekani mtu alipwe mshahara kuliko mimi" WTF kwa kazi gani hasa unayoifanya.?? Siku tukiacha siasa za kipumbavu ndio tutajua kua hii nchi ina PROFESSIONALS wengi sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
cc: Kiranga Aliwahi kusema kwamba hawez kurud tz ....kwa sabab hatak Kupewa amri na bashite
 
Rwanda hata mtu akinunua Scania 10, anachukua vijana 5 VETA ya kwao anawapeleka Sweden wakajifunze.

Ni Utaratibu ambao Kagame kauweka na unawasaidia sana.
Ujumbe kwa serikali

Wakasome Technologies na Tiba kisha warudishwe hapa Tanzania watupwe kwenye manufacturing industry na tiba haki ya nani tutapiga hatua haraka sana.

Tufanye hivyo kwa miaka mitatu mfululizo tutapata wataalamu wabobezi hasa hawa wanaofanya vizuri sana darasani...tutatisha sana ukanda huu. Rwanda wana kautaratibu hako.

Kuna wakati tulifanya hivyo japo idadi ni ndogo...tulipeleka watu wetu Urusi enzi za USSR wakati wa mwalimu JKN walirudi na maarifa sana japo sidhani kama tuliwatumia vilivyo.

Japan waliwahi kufanya hivyo walibeba vijana wakawatupa Uholanzi wakarudi kisha wakapewa wajibu wa uvumbuzi....China pia ilifanya hivyo sana huko nyuma....hawa wote wamepiga hatua sana.....Singapore pia Korea Kusini walifanya hivi.

Tukubali kwamba wenzetu wana cha zaidi kwenye technology.....hawa vijana tutakaowapeleka tuhakikishe wakirudi wote wanaingia sokoni mwa ajira kisha kuleta manufaa na wao wataambukiza ujuzi...kwa wengine.

Tunaweza hata kwenda mwezini kama tutawekeza kwa elimu ya applied sciences hasa tukienda Kuiba ujuzi nje kwa wenzetu.

Vijana ni rasilimali tuwatumie positively.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukienda huko ulaya kutokana na ugumu wa maisha bongo hatakubali kurudi

Ulaya salary 3500$/month after 5years anapewa uraia

Bongo anakuja kulipwa 560000/month after 3yrs magu anamtumbua

Changa karata zako vizur ukipata nafasi ya kwenda ulaya au Us kusoma Usirudi bongo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom