Triple2021
Member
- Apr 7, 2021
- 25
- 45
ahahhahhaha...na mimi sijaelewaHaionekani halafu imepita misri ? au mimi ndo sijaelewa
ahahhahhaha...na mimi sijaelewaHaionekani halafu imepita misri ? au mimi ndo sijaelewa
Siku ya Alhamisi iliyopita China imetuma rocket kubwa kuliko zote angani lakini pasina kujulikana sababu imetoka katika control yao na mpaka sasa haijulikani iko wapi?
Ina uzito wa tani 21 na urefu wa futi 100 na upana wa futi 16.
Ripoti za wataalamu wa anga zinasema roket hiyo itafika kwenye ardhi ya Dunia muda wowote katika wiki hii au siku chache zijazo.
Mpaka hivi sasa haijulikani itaangukia wapi kwakuwa haionekani na hamna mawasiliano ya kuiongoza iangukie baharini.
Inakimbia kwa kasi ya kilometer 28000 kwa lisaa na ina uwezo wa kuzunguka dunia yote kila baada ya dakika 90 na kwa mujibu wa ripoti ya Dk Mohammad Said mtaalamu wa maswala ya anga ni:
Kuwa rocket hiyo imefanikiwa kuivuka Misr kwa salama masaa mawili yaliyopita ndani ya dakika 8 na sekunde 40 ikiwa katika urefu wa kilometer 269.
Mwenyezi Mungu atuhifadhi na shari ya waja wake.
Picha hazihusiani na tukio
View attachment 1773999View attachment 1774000
🤣🤣🤣Kwa hiyo tuwe tunatembea huku tunaangalia juu
Yes wanasema wana i monitor mpaka sasa as we speakPentagon (US Space Force) wanaifuatilia.
sasa kama haina mawasiliano au haionekani wamejuaje imevuka misr?Kuwa rocket hiyo imefanikiwa kuivuka Misr kwa salama masaa mawili yaliyopita ndani ya dakika 8 na sekunde 40
Waliowaletetea ukimwi je hawapaswi kuwajibishwaHawa waasisi wa mambo ya Wuhan wanataka kutuletea balaa jingine.
Hawa wanapaswa kuwajibishwa kwa madhara yao kwa dunia.
Limtafute hata huko kuzimu likam'bamizeIngekuwa ni kipindi cha Mkulu, watu wangesema "ikaangukie magogoni".
wapo bado kwa sasa kero yao iko bungeni kwa spkIngekuwa ni kipindi cha Mkulu, watu wangesema "ikaangukie magogoni".
kwani hukusikia yaliyotokea Chato mkuu liliangukia Burigi now ni kivutio Cha utalii!Vipi kilishaangukaga ama tuendelee kusubiri
Sasa unategemea italeta nini!?Mungu aepushie mbali ikianguka isilete madhara.
oooooh kumbe lilibadirika angani na kuwa jiwekwani hukusikia yaliyotokea Chato mkuu liliangukia Burigi now ni kivutio Cha utalii!