Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,667
- 225,294
Kumbe unamjua Mungu eeh!Ushauri huu unaonaje apewe Mungu huwenda akauizma ule moto wa jehanamu ambao amekua akiuchochea for century kwa ajili ya watu waliomkosea?
Kumbe unamjua Mungu eeh!Ushauri huu unaonaje apewe Mungu huwenda akauizma ule moto wa jehanamu ambao amekua akiuchochea for century kwa ajili ya watu waliomkosea?
Namjua pazi, namjua spiderman, namjua harrypotter, namjua panya mabaka aliyemvisha paka kengele, namjua thor, namjua unicorn, namjua yesu, namjua allah, namjua yahwe, namjua MunguKumbe unamjua Mungu eeh!
Oh kumbe!Namjua pazi, namjua spiderman, namjua harrypotter, namjua paka mabaka aliyemvisha paka kengele, namjua thor, namjua unicorn, namjua yesu, namjua allah, namjua yahwe, namjua Mungu
Sio siri nawajua finction characters wengi sana
Unacheka nini mzee?
Kama unajijua ni mentally weak then wewe samehe eti "unajiponya"
Ila sisi kichwa ngumu mzee,tume-specialize kwenye maugomvi ya maisha....
Sisamehi hata mzazi.....
Tumeamliwa kusamehe ili tubarikiwe mkuuMfano mtu anakufanyia fitna sehem yako ya kujipatia ridhiki mara akuendee kwa waganga mara akutengenezee matukio ili unase kwenye mkono wa sheria mara akutejengee chuki kwenye jamii inayokuzunguka na mambo mengine mengi machafu ya kishenzi. Je, huyo mtu inapaswa ufanyeje? Umsamehe tu, umpuuze, upambane nae, ama umkimbie?